Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna kitu nisichounga Mkono kwenye soka kama kuombea timu nyingine zifanye vibaya hili nafasi yako iwe vizuri, nakumbuka tulijadili baada ya kupangwa mechi za robo Final ya UEFA kwamba ni bora tujikite kugombea nafasi ya nne na si UEFA
Tuombe bahati iwe kwa timu ifanikiwe kumaliza nne bora
Ni sawa na wale wanao ombea wachezaji wa timu pinzani wapate majeruhi.
 
May be my memory is down, nani anakumbuka the time your favorite coach anachukua timu tulikua nafasi ya ngapi? And what an improvement he has made so far?
View attachment 1062242

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna mambo upo sawa na mengine unachemka

Ukiangalia League Table kwa kigezo cha position (namba 6) utaona hamna tofauti katika kipindi cha Jose na sasa

Lakini ukiangalia points difference kati ya United na top 4/3 utagundua kuwa kumekuwa na massive improvement

Kama alivyosema Mkuu Damushin, Jose alipoteza pambano. Lakini kwa mtazamo wangu hakupoteza pambano sababu ya yeye si kocha mzuri, bali kwa sababu nyingine ikiwemo kushindwa kudhibiti hali ya hewa iliyochafuka pale United

By the way bado United ana nafasi nzuri tu ya kuingia top 3/4, japo ni ukweli usiopingika kuwa matokeo ya mechi ya Wolves yametuweka pagumu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana Man u inawachezaji wenye viwango vizuri tu ila hawako organized as a team na huenda ikahitaji squad overhaul kutengeneza timu nzuri tofauti na hapo tutaendelea kupotea kadri siku zinavyokwenda.

Lakini tutambue pia EPL inaendelea kuwa ligi ngumu sana kadri siku zinavyokwenda timu zimewekeza nyingi kiasi cha kubadili kabisa atmosphere ya ligi.

Hebu tuangalie the Ferguson Era kulikuwa na top four contenders wanne tu Liverpool, Man u Arsenal na Chelsea Leo hii kuna contenders sita kwa hali ya kawaida lazima kuwe na mtifuano mkubwa.

By the way msimu huu tuliupoteza from the beginning tukubali kuretreat na kwenda kujipanga upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are a real fan of football..!

Manchester wengine waliobaki ni mashabiki uchwara..! Mimi huwa ni Chelsea ila mambo ya unazi yaliisha zamani sasa mpira sasa ni biashara na si ujiko koko tena. Investors wanaangalia kama wanatengeneza pesa si kushinda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna vitu united na board kwa ujumla wanatakiwa kukubali kuirejesha united ile ni swala ambalo haliwez kutokea kwa kubahatisha kwa kuendelea kuwaongezea contracts wachezaji kam Phil jones,Ashley young,Chris smalling..Team ina mapunguf makubwa sana ambayo yamesababishwa na kukosekana kwa right players watakao dumu katika falsafa ya united izo team ulizotaja investment yao ilifanywa na watu wa mpira ndio maana wameweza kuwa threat kwan Liverpool 4 years back walikuwaje? Wamefanya right decisions kwenye kurejesha ushindan wao kweny PL ata Liverpool wakikosa ubingwa msimu naiona itakuw vizur kmchallenge city

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini mashabiki wa man hamusomi nyakati mu sawa na CCM Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekucha, naona leo BBC na Sky na magazeti mengine wanaripoti kwamba kuna uwezekano wa Man United akaachana na wachezaji 6 au zaidi katika dirisha la usajili lililo mbele yetu

1. Juan Mata (Barcelona bure)

2. Ander Herrera (PSG bure)

3. Antonio Valencia (Anaondoka Bure)

4. Mateo Darmian ((Hayupo kwenye mipango ya kocha)

5. Rojo (Yupo sokoni)

6. Bailly (Hajamshawishi kocha)

Wengine lakini kuna vikwazo

7. Degea (Makubaliano ya mkataba ndio kikwazo)

8. Alexis (Hauziki sababu ya mshahara mkubwa anaolipwa)

Je hii ndio overhaul tunayoitaka?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekucha, naona leo BBC na Sky na magazeti mengine wanaripoti kwamba kuna uwezekano wa Man United akaachana na wachezaji 6 au zaidi katika dirisha la usajili lililo mbele yetu

1. Juan Mata (Barcelona bure)

2. Ander Herrera (PSG bure)

3. Antonio Valencia (Anaondoka Bure)

4. Mateo Darmian ((Hayupo kwenye mipango ya kocha)

5. Rojo (Yupo sokoni)

6. Bailly (Hajamshawishi kocha)

Wengine lakini kuna vikwazo

7. Degea (Makubaliano ya mkataba ndio kikwazo)

8. Alexis (Hauziki sababu ya mshahara mkubwa anaolipwa)

Je hii ndio overhaul tunayoitaka?



Sent using Jamii Forums mobile app
Waingereza wasitufanye sisi ni wazembe na matahira wa kutupwa, hiyo list haiwezi kuwa sahihi bila ya uwepo wa phil jones, jesse lingard, ashley young.
 
Waingereza wasitufanye sisi ni wazembe na matahira wa kutupwa, hiyo list haiwezi kuwa sahihi bila ya uwepo wa phil jones, jesse lingard, ashley young.
Hahahahaha

Lingard ni English, Manchester local lad, academic product (japo binafsi naona anafaa kuwa kwenye squad) sahau kuuzwa

Jones ni English, ame renew mkataba juzi juzi miaka 4 (labda ili kuweka thamani yake ili auzike) na OGS anaonekana anamkubali, hivyo ni ngumu kuuzwa

Young ni Mwingereza mwingine, kapteni, ame renew mkataba wa mwaka 1 lakini kubwa zaidi kuna wachezaji 2 wa namba yake wanaoondoka hivyo sioni na yeye akiuzwa (utawa replace vip?)

Kazi tunayo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii overhaul ifanyike kwa umakini sana vinginevyo next season tutaanza kupigana kutokushuka daraja.

Sema ukiangalia hiyo list wachezaji mechi wanazocheza hazizidi tano kwa msimu ukiondoa de gea na Herrera
Kumekucha, naona leo BBC na Sky na magazeti mengine wanaripoti kwamba kuna uwezekano wa Man United akaachana na wachezaji 6 au zaidi katika dirisha la usajili lililo mbele yetu

1. Juan Mata (Barcelona bure)

2. Ander Herrera (PSG bure)

3. Antonio Valencia (Anaondoka Bure)

4. Mateo Darmian ((Hayupo kwenye mipango ya kocha)

5. Rojo (Yupo sokoni)

6. Bailly (Hajamshawishi kocha)

Wengine lakini kuna vikwazo

7. Degea (Makubaliano ya mkataba ndio kikwazo)

8. Alexis (Hauziki sababu ya mshahara mkubwa anaolipwa)

Je hii ndio overhaul tunayoitaka?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna mambo upo sawa na mengine unachemka

Ukiangalia League Table kwa kigezo cha position (namba 6) utaona hamna tofauti katika kipindi cha Jose na sasa

Lakini ukiangalia points difference kati ya United na top 4/3 utagundua kuwa kumekuwa na massive improvement

Kama alivyosema Mkuu Damushin, Jose alipoteza pambano. Lakini kwa mtazamo wangu hakupoteza pambano sababu ya yeye si kocha mzuri, bali kwa sababu nyingine ikiwemo kushindwa kudhibiti hali ya hewa iliyochafuka pale United

By the way bado United ana nafasi nzuri tu ya kuingia top 3/4, japo ni ukweli usiopingika kuwa matokeo ya mechi ya Wolves yametuweka pagumu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafasi nzuri ??

1.Umeangalia fixtures ya timu zinazogombania hizo nafasi ?

2.Umeangalia viwango vinavyoonyeshwa na hizo team kwa sasa ukilinganisha na United?

3.United inaweza kushinda mechi zote 6 zilizobakia ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United are set for their biggest summer clear-out for four years with as many as six established players possibly leaving Old Trafford, Sky Sports News understands.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Arsenal ana fixtures za Toffees, Watford, Wolves na Burnley ugenini

Arsenal ana fomu nzuri sana nyumbani, lakini ugeni amekuwa tia maji tia maji especially kwa hizo timu nilizozitaja akiwa ugenini atapata tabu sana. Lakini kiujumla timu ya Arsenal haijawahi kuaminika.

Chelsea ana fixtures za Man na Liverpool away, hapo sijataja mechi zake dhidi ya mid "tablers" ambapo juzi tu dhidi ya mshuka daraja Cardiff umeona alivyomhenyesha

Spurs amebaki na Man City, lakini mechi nyingine alizobaki nazo sio ngumu sana. Lakini kumbuka huwa anafungika na timu ndogo pia, angalau Spurs ndio yupo pazuri

Kwahiyo top 3 race bado ipo open Mkuu
Nafasi nzuri ??

1.Umeangalia fixtures ya timu zinazogombania hizo nafasi ?

2.Umeangalia viwango vinavyoonyeshwa na hizo team kwa sasa ukilinganisha na United?

3.United inaweza kushinda mechi zote 6 zilizobakia ?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We miss him.....
1745200684.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal ana fixtures za Toffees, Watford, Wolves na Burnley ugenini

Arsenal ana fomu nzuri sana nyumbani, lakini ugeni amekuwa tia maji tia maji especially kwa hizo timu nilizozitaja akiwa ugenini atapata tabu sana. Lakini kiujumla timu ya Arsenal haijawahi kuaminika.

Chelsea ana fixtures za Man na Liverpool away, hapo sijataja mechi zake dhidi ya mid "tablers" ambapo juzi tu dhidi ya mshuka daraja Cardiff umeona alivyomhenyesha

Spurs amebaki na Man City, lakini mechi nyingine alizobaki nazo sio ngumu sana. Lakini kumbuka huwa anafungika na timu ndogo pia, angalau Spurs ndio yupo pazuri

Kwahiyo top 3 race bado ipo open Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni sababu inayofanya United awe na nafasi nzuri kumaliza top 4 kimahesabu uko Sawa but Arsenal akishinda kiporo chake anatuacha point 5 .Spurs & Arsenal wana goal difference 26 while United ana 18

Arsenal anaweza akafungwa hata mechi 2 na tusimfikie,Kinachosikitisha ni kiwango cha United kwa sasa ukweli ni kwamba hatuwezi kushinda mechi zote 6 zilizobakia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mtazamo wangu, Nafasi ya Kuingia Top 4

Arsenal 30%

United 30%

Spurs 25%

Chelsea 15%
Sioni sababu inayofanya United awe na nafasi nzuri kumaliza top 4 kimahesabu uko Sawa but Arsenal akishinda kiporo chake anatuacha point 5 .Spurs & Arsenal wana goal difference 26 while United ana 18

Arsenal anaweza akafungwa hata mechi 2 na tusimfikie,Kinachosikitisha ni kiwango cha United kwa sasa ukweli ni kwamba hatuwezi kushinda mechi zote 6 zilizobakia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Honestly hapa united ndio tuna nafas ndogo zaid labda hapa kitu kinachoweza kufanya nafas kuongezeka kwetu ni kama Arsenal atafungwa game ijayo na ss tukapunguza gap uku tukitarajia Chelsea apoteze dhid ya liver game ijayo itafanya top 4 race iwe open kwa team zote 4 I mean tot,united,chelsea,na Arsenal
Kwa Mtazamo wangu, Nafasi ya Kuingia Top 4

Arsenal 30%

United 30%

Spurs 25%

Chelsea 15%

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fedha ya kufanya matumizi ya wachezaji kuanzia 6 hadi 8 sidhani kama ipo kwa msimu mmoja kama tutaamua kutafuta wachezaji wa bei ghali, na kama haipo hata msimu ujao mwendo utaendelea kuwa ni huu wa kucheza vizuri mechi tano then tunacheza ovyo mechi 5 (inconsistent).

kama target zetu ni wachezaji wanne ina maana antony martial, jesse lingard, nemanja matic, smalling, ashley young, rashford, shaw wataendelea kuwa wachezaji wetu wa kikosi cha kwanza msimu ujao.

mwanzoni ilikuwa ni man city peke yake lakini kwa sasa liverpool nao pia wanatuzidi kiubora kama utawalinganisha mchezaji mmoja mmoja. ukimuondoa lindeloff na paul pogba ambaye nayeye kiwango chake hakina tofauti na majira ya msichana (menstrual) sidhani kama tuna mchezaji mwengine mwenye uwezo wa kucheza kikosi cha kwanza pale liverpool.

allison vs degea ( kwa sasa namchagua allison)
arnold vs young ( hata mwendawazimu atamchagua arnold)
robertson vs shaw ( takwimu zinambeba robertson)
virgil vs smalling (virgil mchezaji bora wa mwaka)
matip vs lindeloff (victor yupo vizuri)
gini vs matic (gini yupo vizuri)
fabinho vs herrera ( kwa sasa fabinho)
lallana vs pogba (pogba)
salah vs rashford ( salah ameshuka kiwango lakini bado ni bora)
firmino vs lingard ( hata malaika watamchagua firmino)
mane vs martial ( mhhhhhhhh mane is the best baada ya aguero kwa msimu huu)
Hahahaha

Hiki kicheko nadhani hata washabiki wenzangu wa LIVERPOOL wakati wanasoma hii reply yako wamekicheka




13SEPTEMBER
 
Back
Top Bottom