The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Dah natamani sana kweny hii game vs Chelsea Mournho angekuwepo...yule jamaa angethibit watu fuln vizur sana. Hata game ya city Mou angekuwepo, angenitolea droo tuu
Tulikuwa na hulka tu ya kumuona Jose' yupo wrong kwenye kila kitu..kitu ambacho sio kweliKuna watu walikuwa wanamsakama Jose alipoingiza beki kwenye game anayoongoza na anahitaji ushindi kwa udi na uvumba
Hapa naona anatoka Aguero anaingia Jonhstones
Anatoka Sterling anaingia Otamendi
Timu ina Kompany, Laporte, Jonhstones, Otamendi, Zichenko, Walker
This is called Pragmatism
Naona Chelsea wametake control ya game, tempo ile ya dakika za mwanzo tungeimaintain uhakika wa ushindi ungekuwa mkubwa
Bado zama hizi unasikiliza mpira REDIONI?Naona Chelsea wametake control ya game, tempo ile ya dakika za mwanzo tungeimaintain uhakika wa ushindi ungekuwa mkubwa
UselessRashford
Bado zama hizi unasikiliza mpira REDIONI?
Pamoja mkuuHapana mkuu, hii post nimeipost kama dk 15 zilizopita wakati Chelsea alipotaka kutake control ya Game, naona tumerudi kwenye control.