Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Blackburn-v-Manchester-United-David-de-Gea_2743550.jpg
 
dah...yaani manu naichukia kupita ccm lakini nawakubali sana wakishakaa kileleni,huwa hawafanyi makosa ...pressure kubwa sana iko kwa mancini na kuna kila dalili j'pili ijayo atachezea kichapo kwa arsenal au kuambulia draw tu...!
 
dah...yaani manu naichukia kupita ccm lakini nawakubali sana wakishakaa kileleni,huwa hawafanyi makosa ...pressure kubwa sana iko kwa mancini na kuna kila dalili j'pili ijayo atachezea kichapo kwa arsenal au kuambulia draw tu...!

tena mkuu!tunacheza QPR kabla man city hajacheza na arsenal!wataingia uwanjani tukiwa tumewaacha points 8!raha iliyoje!
 
Huko aliko mancini na mshenga wake wa mind games viera watakua wana wet their pants.
 
The glory of united....The lads know when,why and how to deliver when it matters the most.Come on United.
 
Back
Top Bottom