Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumecheza kama tulivyocheza game ya Watford na West Ham,

Tofauti ni kwamba leo Everton hajapoteza nafasi za kufunga

Poor United, don't deserve to play UCL next season

Will regret to sign OGS instead of Poch
OGS tayari ana cheque yake, mkivunja tu mkataba mnamlipa ndefu!
 
Hilo ni tatizo kubwa kweli kweli team imekosa mipango na kibaya zaidi nadhani Ole anatupeleka kubaya sana.

Ole anamwabudu Pogba Hii ni hatari sana,afadhali Jose alikuwa guts za kumpiga bench huyu mshenzi wa viwango vyote.
Naona unaanza kuja taratibu,our next game Vs City unafikiri hali itakuwaje ?
 
Plz naomba mwenye groups za Man u aweke link hapa
 
Lindelof ndio our best CB this season ,Kama Woodward angekubali Jose asajili new defender sidhani kama Jones/Rojo bado wangekuwa bado wanachezea United
Tayari msimu huu tumeweka rekodi ya kufungwa magoli mengi kwenye EPL but Jose alimwambia Woodward timu inahitaji new defenders akamgomea
 
Ndio mpira bwana. Leo Everton walikuwa na hali ya ushindi kwa 70% kutokana na ubovu wa timu yetu, mimi wala sishangai matokeo haya kipigo kilikuwa lazima.
 
√KIMSINGI wachezaji na kocha they are not good enough..

√Sioni tukiprogress

√Timu imejaza waingereza wengi wasioweza mpira..Hivi huyu bernard wa everton si anamzidi Lingard mchana kweupe??

√KIMSINGI tuna timu mbovu kuanzia juu kwenye uongozi mpaka kwenye benchi la ufundi..

√Next season tupo Europa so hao masharobaro wakitaka kusepa wasepe..i don't even care anymore

√Fu.cking disgusting
 
Kweli jamaa anajituma sana kuliko hiyo michezaji mingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…