Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kuwa na waingereza sio tatizo maana hata Pep anao tena wanne ni regular starter na wanadeliver, kuna Jordan Sancho, Harry Kane, Pickford, Kirian Trippier and co mbona wanacheza mpira mzuri sana
maana kwenye timu yetu tuna wachezaji wa mataifa tofauti mbona nao ni uozo mtupu
ishu sio uingereza ishu ni kudeliver hata Rooney, Ferdnand, Neville, Giggy, Beckham, Keane wote walikuwa waingereza

Aliyekuambia Kane anachezea man city ni nani? Jadon sacho pia?? Nimegundua wewe sio mfuatiliaji wa mpira...
 
Tuweke ushabiki wa Messi na Barca pembeni...

Ukweli ni kwamba Barca wameshinda kwasababu ya madhaifu ya kikosi cha Man utd... Hawajaonyesha performance yoyote ile ya kutiiiisha!!!

Kwaiyo usitegemee akikutana labda na Liver eti atapata mteremko kama kwa Man utd...

Ingawa wamewatoa man utd, Barca wanatakiwa waimprove performance yao... Vinginevyo hawafiki popote paleeee!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi sasa hujui kwamba hio ndio timu peke imefika hatua hii bilaa kufungwa yan unbeaten jan walkuwa wana relax kwa sabb walkuwa n uhakika wa ushindiiii mzeee usitegeme game inayofwata watacheza km janaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United hamjui mpira, ile timu ni Hanna kitu, mnajua kelele tu lkn mpira hamjui mngejifanyia hata self assessment ni miaka mingapi mgululizo hamjachukua EPL...


Hivi kweli timu inategemea vikina rashford na Lingard ndo wachezaji tegemezi... Mna vi overate basi na nyie mnajiona mna wachezaji.

Manchester hamjui Moira kilichobaki ni kelele tu
 
Pogba sio saizi ya utatu mtakatifu wa Barca pale kati hadi dogo Arthur ni Bora kuliko pogba

Sent using Jamii Forums mobile app

Pogba ni bora kuliko Arthur pakubwa sana

Arthur anao uwezo wa kukaba na kuchezesha timu tu ila uwezo wa Arthur kwenye kufunga magoli na end product ni mdogo sana

Pogba anauwezo wa kuchezesha timu, kutengeneza magoli na kufunga magoli kwa ufanisi mkubwa
 
poleni sana man u, ilifikia kipindi nikawaonea huruma sana kwasababu barcelona ilikua inacheza na team inayoitwa manchester united ila yenye wachezaji wa cardif

poleni sana, sasa turuhusuni huu mfupa tumpe ndugu yenu liverpool.
 
Manchester United hamjui mpira, ile timu ni Hanna kitu, mnajua kelele tu lkn mpira hamjui mngejifanyia hata self assessment ni miaka mingapi mgululizo hamjachukua EPL...


Hivi kweli timu inategemea vikina rashford na Lingard ndo wachezaji tegemezi... Mna vi overate basi na nyie mnajiona mna wachezaji.

Manchester hamjui Moira kilichobaki ni kelele tu


Imewauma sana kupigwa mbili na mfalme, utafikiri ndio mara yake ya kwanza kuwabandua 😂😂😂 wanateseka sana masikini ya Mungu.
 
Hapana. Ndio maaana washabiki wametofautiana. Wako wanao ukubali ukweli( hawa ni wachache).. wako wanaokataa ukweli na kuishia kusifu.. hawa nddio wengi.
This time nimewaasa waukubali ukweli tu kuwa man u haina kikosi cha ushindani. Wanahitaj masssive revamp

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana mkuu hakika umenena ya msingi
 
Back
Top Bottom