Nilijua nabishana na mtu anaejua mpira kumbe ni mshabiki maandazi....
Sasa apo Chuki za Messi na Barca zimetoka wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana sijaona mpira wowote wakutaajabisha walivyocheza na portoNilijua nabishana na mtu anaejua mpira kumbe ni mshabiki maandazi....
Sasa apo Chuki za Messi na Barca zimetoka wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza na Frank Lampard na Terry wa Chelsea all time legends. Kwa ufupi Man United timu kubwa yenye malapulapu ya wachezaji waliotakiwa kuichezea Cardiff city au Fulam.
Liverpool wanawafunga porto hii haina ubishi ila kitendawili ni Liv vs Barca
Uyo liver Kwa mpira anaocheza na porto sizani kama angemfikisha man u goal 4Liverpool wanawafunga porto hii haina ubishi ila kitendawili ni Liv vs Barca
Ole alichobadilisha ni mahusiano kati ya kocha na wachezaji, mfumo ni ule ule, kupaki mabasi kama kawa na kutegemea counter attack ili washinde. Kwa Barca hiyo tactics ilifeli kabisa.He said finishing second with this team was one of his greatest managerial achievement
Wakati Ole anashinda zile mechi 7 mwanzo tukasema mbona Ole anashinda na wachezaji hawa hawa ambao Mourinho alisema wabovu
Mahusiano na wachezaji hayawezi kukufanya ukashinda vikombe while the players are averageOle alichobadilisha ni mahusiano kati ya kocha na wachezaji, mfumo ni ule ule, kupaki mabasi klama kawa na kutegemea counter attack ili washinde. Kwa Barca hiyo tactics ilifeli kabisa.
Yani hapo nikipakumbuka ndio machozi yananitoka kabisaaaaaaManu mko ktk kipindi kigumu sana. Nyie ndio mmepewa jukumu la kuamua nani awe bingwa epl kati ya mahasimu wenu wawili.
Nasubiri kwa hamu kukesha jukwaa la liver na ule msemo wako wa kuita wachezaji usiowapenda mashoga mara lawama kwa kocha.
Anyway ASANTE mdo mpira ulivyo
Nimeona Liverpool amefungwa na poto,na ndoto zangu huwa hazidanganyi.Liverpool wanawafunga porto hii haina ubishi ila kitendawili ni Liv vs Barca
Ulikua unaangalia wapi mpira hadi ukasema mechi zote mbili Barca hawakua wazr?I think Barca licha ya kuwa na wachezaji wazuri perfomance yao haikuwa nzuri kwenye mechi zote mbili (next round against Liverpool watastruggle sana) na jana individual perfomance ya Messi ndio iliamua mechi but licha ya kuwa na average players game plan,tactics ,plan B na substituion za OGS bado sana na anatakiwa kuwa aggresive kwa wachezaji kazi aliyopewa ni kubwa sana Moyes alikuwa na back up ya SAF lakini hakumaliza hata msimu mmoja licha ya kupewa mkataba wa miaka 6. Jose Mourinho alikuwa na makosa yake but alikuwa ndiye kocha ambaye angetufaa kwa kipindi hiki Woodward alifanya mistake kutomsikiliza na kumuunga mkono
Ajax ManagementTimu itakayokutana na Ajax wajiandae tu kikamilifu, hasa mbele ni kama nyuki wasifanya makosa
Endelea kujificha kwenye kivuli cha Liver.Tuweke ushabiki wa Messi na Barca pembeni...
Ukweli ni kwamba Barca wameshinda kwasababu ya madhaifu ya kikosi cha Man utd... Hawajaonyesha performance yoyote ile ya kutiiiisha!!!
Kwaiyo usitegemee akikutana labda na Liver eti atapata mteremko kama kwa Man utd...
Ingawa wamewatoa man utd, Barca wanatakiwa waimprove performance yao... Vinginevyo hawafiki popote paleeee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzr Waingereza na yaliyokua makoloni yake mmejaliwa kuongea ila Waispania kazi kufanya vitendo, ngoja tusubri muda ni mwamuzi mzr sanaMan u haina tofauti na fulham au cardif.
Mziki wa UEFA muachie Klopp, Barca ataenda kupigwa mpaka achake.
Kiukwel japokuwa siipend Man U, lakin sikuona mpira wowote wa Barca, ni udhaifu wenu kama wa ndugai kushindwa kuwabana wahuni wale camp nou.
Aisee Mkuu kumbe unampata huyu jamaa
Huwa anapovu kishenzi, utashangaa amemuita Hendoshoga, mara Klop sijui nini
Yaani huwa anatia huruma, unaweza ukazani kesho asubuhi anajinyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa na magoli 10,000 kwasababu angekuwa anafunga kila dakika.Sasa angekua anakutana na timu zote kila msimu kama hao wachezaji, kwa hiyo miaka kumi uliyoisema angekua na magoli mangapi?
Au point yako ya kuandika hivyo ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana walikimbilia kwa Cristian baada ya kwao mambo kuharibika, Cristian kafungashiwa virago sasa naona wana dalili zote za kuanza kujificha kwenye makwapa ya LiverpoolUlikua unaangalia wapi mpira hadi ukasema mechi zote mbili Barca hawakua wazr?
Sent using Jamii Forums mobile app