Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lukaku lazima asepe pale sio kwa kumfanyia hivyo.
 
Marehemu alikua na mdomo sanaa

sometimes yes sometimes no
 
Naona umekuja tena na ajax.. Jmn jidfunze kuappreciate... Game plani haiwezi kuwa sawa.. Barca hatukimbii kimbii kama juve au rm.

Ajax ni academy yetu babu yetu ni mmoja Johan Cruyff..

Hopefully itakua game nzuri sana ya fainali kwa staili ya timu mbili hizo.. Mtauona mpira wenye burudani. Wakukumbukwa.

Sio kukimbizana na butubutu
Ninyi mtakutana na Ajax, jiandae mapema kudhalilika kwa kupigwa 12/dozen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabik wa man u wakiwa wanaisifia tim utadhan ni kikosi cha dunia kumbe wanaendekeza u mavi mavi tu,na ndicho kilichowaponza..

Ety unaenda catalunya kwa mentality ya kwamba mliwatoa psg na juve na wakafikiri catalunya ni kama turin
nawaonea huruma sana..

Na huy olegwanan wenu amechoma pes ya bure kwenda kuchek mechi ya atletc na barca na kujitia mjuaji sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tell her boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ole he's our biggest fan.

Nani hataki?

 
Huyu ole mlikosea sana kumpa mkataba

Ni kocha wa kufundisha timu za ndondo na si timu kubwa kama man u

Tulimwambia ukianza utazoea na kashazoea kwel



13SEPTEMBER
 
Alienda kuinjoi real football
Olegwananani sijui aliendda kuangalia game ya Barca na atletico ya nn sasa kachoma tyu naul yetu ya buree cozz tumepakatwaa njee ndan dahh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi mpira umevamiwa na wavuta bangi kila mtu amekuwa mchambuzi ...........Mkuu Radika tunakuhitaji huku.
 

Ni kigezo gani kilitumika kumuachia Blind na kumuacha Young ndani ya MUFC?

Ndio maajabu ya Jones ma Smalling kupewa mikataba haraka huku Herrera akiwa hajui hatma yake.

Ole ana imani kubwa sana na wachezaji wa kiingereza,kushindwa kwake kutaanzia hapo.
 
Kila nikichungulia naona majina mengi nisiyoyajua humu, wengine walibadili majina au ? Wapi Nzi, Belo ,DonDonald ,RRONDO ?
Mmeshahamia Manchester City au? Welcome to Europa, ndipo tunapopaweza(Arsenal na Utd)... Nachungulia tu...
Mkuu nipo nimekuwa msomaji nawaachaia vijana maanake mpira wa kisasa nahisi siuelewi. Mechi hii wala sikujisumbua kuangalia kwasababu nilikuwa najua nini kitatokea. Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kutegemea matokeo tofauti na kilichotokea.
 
Nasubiri kwa hamu kukesha jukwaa la liver na ule msemo wako wa kuita wachezaji usiowapenda mashoga mara lawama kwa kocha.

Anyway ASANTE mdo mpira ulivyo

Nakushauri tu kuwa leo usipoteze usingizi wako kwa kumsubiri Liverpool apoteze kwani hilo halitatokea.

But ni Favour moja tu nitakufanyia kwa Kukulipizia kisasi kwa Barcelona kwa Kumchakaza kwa Kipigo kitakatifu.

Enjoy Futuhi League next season
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…