Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
jamani!hapa hakuna wasomaji nini?maana hakuna comment kabisa halafu natumia simu sioni walioko online!anyway matangazo yanaendelea,bado manchester hawajaongeza magoli!ni yaleyale 3!
its 5!chicharito once again
3 more goals needed.
......so sad to Rooney!its true Sir Nzi!i wonder no goal from rooney so far!
......so sad to Rooney!
Wewe majeruhi yamekuja kati ya msimu. Sisi tumeanza nayo! Tumecheza zaidi ya nusu msimu bila full back. Kuhusu kufungwa na Blackburn ndo ilikua kipindi hicho wakati msimu unaanza! Huwezi kuwa na form nzuri bila 1st team regulars. Milan na Swansea ni ishu tofauti na tulifungwa kihalali, no excuse.
Nyinyi hamtaki tu kutoa kisingizio, lakini kikosi kimetepeta. Kuanzia kati mpaka nyuma. Kula mbele hamna shaka. The credit you get, is the fighting spirit that the red devils have. Thats what keeps you going. Kubali kataa!
Ile 8-2 mlicheza na kikosi dhaifu tu. Na una bahati tumemalizana maana saivi tukikutana hutoki.
By the way, naomba nitoe taarifa mapema kwamba Wolves wanakuaribieni sherehe leo