Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapo kwa linderlof mzee umepepesa,,yule Iceman ndio best defender Bora ktk ligi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleza vizuri ila kwa Smalling ni beki bora na zaidi ya Lindelof hapana kwa sababu, Smalling hana consistency utaona leo yuko poa kesho yuko hovyo au kesho kutwa kawaida.

Yupo vizuri hewani lakn bado hata urukaji wake una makosa sana na kama refa akiwa macho sana anatoa faulo kila wakati anashikilia sana,kuparamia juu kwa kushiga mwili wa opponent pia sio ball player defender na mara zingine anakosa kujiamini na mpira sababu sio ball player hasa ukim-pressure.

Sub tuko pamoja mimi mwenyewe nilijiuliza why anamtoa Dalot badala ya Young aliyekuwa hovyo kabisa. Sababu angemtoa Young then Dalot angeenda kucheza Rightback na kumuingiza Martial kuja kucheza upande wa kushoto na kumuacha Lukaku kuendelea kucheza.

Then angekuja kumtoa Rashford na kuingia yeyote kati ya Perreira na Lingard lakn Lukaku alipaswa kumaliza mchezo.

Pia nimeona mbinu aliyoitumia OGS upande wa kushoto mwanzo ilifanya sana kazi hasa first half kwa kumzuia Luke Shaw not to attack na kukaa chini kusubiri kukaba huku juu yake akiwa Dalot akifanya kazi zote kama winger,mrusha mipira na kusaidia kukaba upande huo wa kushoto wa United.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mc Tominay siyo wa mchezo ni kama ka fletcher vile katulia anakaba kwa ufundi tena ndani ya box bila kusababisha faulo kwa dakika 90 good boy.

Maoni yangu hakuna haja ya kupoteza hela kutafuta DM tena tuzibe pengo la Mata, na hererra kwa kumleta Ruben Neves na christian Eriksen,
Huyo Wan Bisaka aje ajaze nafasi ya Young asiyejua hata kupiga cross,

Tukamchukue Skinniar kuziba nafasi ya Bailly na tutafute wings mbili za maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka apangwe kuwa defender kasi yake imepungua sana na uwezo wa kupiga cross hana tena
Mkuu leo timu imecheza vizuri sana,pogba hakuwa na utoto.
Fred utadhani sio yule tunayemjua, amefanya kazi nzuri sana huyu jamaa.

Young sijui anapangwa wa nini huyu babu. Mipira yake haifiki lazima agonge mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of course kule mbele kulipwaya sana lakini attacking midfield ilikosa creativity tulihitaji wings nzuri lakin tumepiga cross Moja tu aliokosa dalot.

Young toka awe defender speed imepungua na uwezo wa kupiga cross pia.

Mic Tominay na Fred walifanya kazi yao sawa sawa na wakiendelea kufanya hivi watakuwa viungo bora EPL mbeleni hawakucheza faulo za kijinga na walkaba kwa umakini na kuilinda defence yao sawa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TATIZO Manchester kwa misimu mitatu aijafanya usajili unaoendana na mahaitaji ya timu. Ndio maana leo tunashuhudia timu ikiwa aina wachezaji wabunifu au wanaoweza kuibeba timu inapoitajika.
 
Hahaaaaa nilikuta Jana kibanda umiza

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahaaaaa nilikuta Jana kibanda umizaView attachment 1068586

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Unaifanya man u izd kuwa timu maarufu duniani ww siunaona mwenyewe unaacha ad kutafuta mkate wakila siku unakazana na keyboard kila mala manchester



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mpira wanacheza ulaya mnatukanana bongo acheni jazba ambazo hazina maana wakuu


Note:
Kama hutaki kejeli acha kushabikia mpira maana ushabiki wa mpira umejaa kejeli so cha muhimu watu muweze kuhandle jazbah

13SEPTEMBER
 
Habari zenu jamani
Nadhani kila mmoja ameona matokeo ya man u dhidi ya Barcelona .Lakini mashabiki wengi wanaamini kua man u wanaweza kuwatoa Barcelona kwa kupata ushindi camp nou ,mm sidhan kama man u wanaweza kufanya hivyo licha ya kua wamefanya hivyo kwa juventus na PSG .je nyie nn mtazamo wenu.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…