Kwako watakuwa mabingwa lakini sio kwetu,naamini tutaenda kucheza na City tukiwa tuko juu yao kwa point zaidi ya 3,kumbuka bado wana game na Chelsea na Arsenal.Kama umegundua City wakicheza bila ya Kompany wanachemsha
...kibelaaaaaaa.....yaani champions league mtolewe, na hii Intertoto cup pia mtolewe?.
msimu mmoja mnatolewa makombe mawili ya UEFA? ...hebu jikazeni bana....
.....leo Rio na Carrick watapata hairdryer yao, tuone Pogba na Smalling watasaidiaje team nao...
duhhh, aibu hii...double subs .....he he he.....6- sasa...la pili hilooooo....