"TOP 10, STATS FOR UNITED VS BARCELONA"
:
Wapinzani Wetu Kwenye Robo Fainali Ya UEFA Champions League Jana Walishinda Kwa Goli 2-0, Vs Atletico Madrid Na Kujikita Kileleni Kwa Tofauti Ya Point 11, Huku Game 7, Tu Zikisalia.,
:
Ole Gunnar Solskjaer Na Mike Phelan Walikuwa Ni Miongoni Mwa Waliohudhuria Kwenye Game Hiyo Ikiwa Ni Takribani Siku 2, Zimesalia Kabla Ya Kukutana Nao Jumatano Pale Old Trafford.,
:
Zifuatazo Ni Takwimu 10, Zinazohusu Game Ya Man United Vs Barcelona.,

:
{1}

Man United Na Barcelona Zimekwisha Kutana Mara 11, Iliyopita Huku United Ikishinda Michezo 3, Ikitoa Sare 4, Na Ikipoteza Game 4.,
:
{2}

Mara Ya Mwisho Kwa United Kushinda Vs Barcelona Katika Dimba La Old Trafford Ni Mwaka 2008, Kwa Kuifunga Goli 1-0, Huku Goli Hilo Likifungwa Na Paul Scholes Na Kuipeleka United Kwenye Fainali Kule Moscow.,
:
{3}

Man United Haijawahi Kupoteza Katika Michezo 4, Ikiwa Nyumbani Dhidi Ya Spanish Giants, Ikishinda Michezo 2, Na Kutoka Sare 2.,
:
{4}

Record Ya United Kwenye Champions League Na Kombe La Ulaya Kwenye Robo Final Iko Hivi, United Imeshinda Game 12, Ikipoteza Game 6, Huku Mara Ya Mwisho Kucheza Katika Hatua Hii Ni 2014, Na Ilipoteza Kwa Jumla Ya Goli 4-2, Dhidi Ya Bayern Munich.,
:
{5}

Man United Imeshinda Game 17, Ikitoka Sare Game 5, Na Ikipoteza Michezo 6, Kwenye Michezo 28, Iliyopita Ya Mashindano Ya Ulaya.,
:
{6}

Gerard Pique Anarejea Old Trafford Kwa Mara Ya Kwanza Tangu Alipoondoka Mwaka 2008, Na Amefunga Mara 2, Katika Michezo 23, Baada Ya Kuhudumu Miaka 4, Akiwa United.,
:
{7}

Hii Ni Mara Ya Pili Kwa United Kukutana Na Timu Kutoka Spain Msimu Huu, Baada Ya Kucheza Na Valencia Kwenye Groups Stage.,
:
{8}

Barcelona Inakutana Na Timu Kutoka England Kwa Mara Ya Pili, Baada Ya Kushinda 4-2 Away Na Sare Ya 1-1, Wakiwa Nyumbani Vs Tottenham Hotspur Kwenye Groups Stage.,
:
{9}

Barcelona Imeondolewa Kwenye UEFA Champions League Hatua Ya Robo Fainali Mara 4, Katika Misimu 5, Iliyopita Wakipoteza Dhidi Ya Atletico Madrid Mara 2, Juventus Na AS Roma.,
:
{10}

Barcelona Imeshinda Mara 14, Katika Michezo 24, Kwenye 2nd Leg Dhidi Ya Vilabu Vya England, Huku Mara Ya Mwisho Kupoteza Ilikuwa Kwenye Nusu Fainali Dhidi Ya Chelsea Mwaka 2012.,
:
{>>>>>>>>>>>>>>>>>>>:
#mufc4life
Sent using
Jamii Forums mobile app