Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"TOP 10, STATS FOR UNITED VS BARCELONA"
:
Wapinzani Wetu Kwenye Robo Fainali Ya UEFA Champions League Jana Walishinda Kwa Goli 2-0, Vs Atletico Madrid Na Kujikita Kileleni Kwa Tofauti Ya Point 11, Huku Game 7, Tu Zikisalia.,
:
Ole Gunnar Solskjaer Na Mike Phelan Walikuwa Ni Miongoni Mwa Waliohudhuria Kwenye Game Hiyo Ikiwa Ni Takribani Siku 2, Zimesalia Kabla Ya Kukutana Nao Jumatano Pale Old Trafford.,
:
Zifuatazo Ni Takwimu 10, Zinazohusu Game Ya Man United Vs Barcelona.,
:
{1} Man United Na Barcelona Zimekwisha Kutana Mara 11, Iliyopita Huku United Ikishinda Michezo 3, Ikitoa Sare 4, Na Ikipoteza Game 4.,
:
{2} Mara Ya Mwisho Kwa United Kushinda Vs Barcelona Katika Dimba La Old Trafford Ni Mwaka 2008, Kwa Kuifunga Goli 1-0, Huku Goli Hilo Likifungwa Na Paul Scholes Na Kuipeleka United Kwenye Fainali Kule Moscow.,
:
{3} Man United Haijawahi Kupoteza Katika Michezo 4, Ikiwa Nyumbani Dhidi Ya Spanish Giants, Ikishinda Michezo 2, Na Kutoka Sare 2.,
:
{4} Record Ya United Kwenye Champions League Na Kombe La Ulaya Kwenye Robo Final Iko Hivi, United Imeshinda Game 12, Ikipoteza Game 6, Huku Mara Ya Mwisho Kucheza Katika Hatua Hii Ni 2014, Na Ilipoteza Kwa Jumla Ya Goli 4-2, Dhidi Ya Bayern Munich.,
:
{5} Man United Imeshinda Game 17, Ikitoka Sare Game 5, Na Ikipoteza Michezo 6, Kwenye Michezo 28, Iliyopita Ya Mashindano Ya Ulaya.,
:
{6} Gerard Pique Anarejea Old Trafford Kwa Mara Ya Kwanza Tangu Alipoondoka Mwaka 2008, Na Amefunga Mara 2, Katika Michezo 23, Baada Ya Kuhudumu Miaka 4, Akiwa United.,
:
{7} Hii Ni Mara Ya Pili Kwa United Kukutana Na Timu Kutoka Spain Msimu Huu, Baada Ya Kucheza Na Valencia Kwenye Groups Stage.,
:
{8} Barcelona Inakutana Na Timu Kutoka England Kwa Mara Ya Pili, Baada Ya Kushinda 4-2 Away Na Sare Ya 1-1, Wakiwa Nyumbani Vs Tottenham Hotspur Kwenye Groups Stage.,
:
{9} Barcelona Imeondolewa Kwenye UEFA Champions League Hatua Ya Robo Fainali Mara 4, Katika Misimu 5, Iliyopita Wakipoteza Dhidi Ya Atletico Madrid Mara 2, Juventus Na AS Roma.,
:
{10} Barcelona Imeshinda Mara 14, Katika Michezo 24, Kwenye 2nd Leg Dhidi Ya Vilabu Vya England, Huku Mara Ya Mwisho Kupoteza Ilikuwa Kwenye Nusu Fainali Dhidi Ya Chelsea Mwaka 2012.,
:
{>>>>>>>>>>>>>>>>>>>:
#mufc4life


Sent using Jamii Forums mobile app
Yote hii sisi fans wa Manure atuoni kama ina umuhimu kwa sasa. Hii Man u ya akina Rashford, Lukaku, Philip Jones sioni kama itafua dafu apo jumatano.

Tuombe tufungwe at least goli tatu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote hii sisi fans wa Manure atuoni kama ina umuhimu kwa sasa. Hii Man u ya akina Rashford, Lukaku, Philip Jones sioni kama itafua dafu apo jumatano.

Tuombe tufungwe at least goli tatu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuwa nyumbu toka lin

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Umekuwa nyumbu toka lin

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Najaribu kuwaunga ili kuwatia moyo kwa sababu stats hazisaidii chochote ..kwa sasa Messi hazuiliki ..hivyo najaribu Kuwa nao Karib ili kuwapa faraja kwenye hichi kipind kigumu wanachoenda kupitia hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kuwaunga ili kuwatia moyo kwa sababu stats hazisaidii chochote ..kwa sasa Messi hazuiliki ..hivyo najaribu Kuwa nao Karib ili kuwapa faraja kwenye hichi kipind kigumu wanachoenda kupitia hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaaa ,napumzika kidogo, navuta pumzi maana jumatano nakuja kuweka kambi hapa hadi asubuhi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Ed Woodward amemuhakikishia Ole Gunnar Solskjaer kuwa atampatia kiasi cha pauni milioni 200 kwa ajili ya kuimarisha ama ksuka kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na atajua mwenyewe jinsi gani ya kuzitumia hizo pesa..
Lakini kama mimi ningekuwa Ole ama ningepewa nafasi ya kumshauri asukeje kikosi chake basi ningeanza hivi
#Kupunguza wachezaji pale OT.
Achilia mbali Ander Herrera na David De Gea ambao hao wote inasemekana huenda wakahamia Psg msimu ujao pamoja na Paul Pogba ambaye anahusishwa sana na kutua Real Madrid msimu ujao hivyo sitowaweka kwenye mipango yangu kwa asilimia 100 na kama nitaamua kumuuza Pogba basi offload yangu itakuwa hivi
1.Paul Pogba-pauni mil 150
2.Eric Bailly-pauni mil 45
3.Chris Smalling-pauni mil 40
4.Alexis Sanchez-pauni nil 45
5.Marcos Rojo-pauni mil 30
6.Phil Jones-pauni mil 40
7.Ashley Young-pauni mil 20
Hapo kwa hiyo offload nitakuwa nimeingiza kiasi cha pauni mil 370 ukijumlisha na ile 200 ya Ed nakuwa na jumla ya pauni mil 570..ambayo nitaitumia yote kwa manunuzi haya
1.Jordan Pickford(26yrs GK)-pauni mil 40 from Everton.
2.Kalidou Koulbally(27yrs CB)-pauni mil 70 from Napoli.
3.Kostas Manolas(27yrs CB)pauni mil 40 from Roma.
4.Joao Cancelo(24yrs RB)pauni mil 55 from Juventus.
5.Matthijs De Ligt(19yrs CB) pauni mil 60 from Ajax.
6.Alex Grimaldo(23yrs LB) pauni mil 30 from Benfica.
7.Ruben Neves(22yrs DM) pauni mil 40 from Wolves
8.Bruno Fernandes(24yrs AM) pauni mil 55 from Sporting.
9.Hirving Lozano(23yrs RW) pauni mil 40 from Psv
10.Ousmane Dembele (21yrs LW) pauni mil 80 from Barca.
11.Luka Jovic(21yrs ST) pauni mil 60 from E.Frankfurt.

Note ; Usajili huo wote sio kwamba ni wakukurupuka ila nakuwa na backup ya wachezaji ambao hata akiumia mmoja unakuwa na backup ya uhakika mfano kwa kikosi kilichopo pale nikichanganya na hawa
GK-Romero/Pickford.
RB-Dalot/Cancelo
LB_Shaw/Grimaldo
CB-Lindelof na Koulbally/ De Ligt na Manolas.
CDM-Matic/Mctominay/Neves.
CAM-Perreira/Fred/Fernandes.
CF-Lukaku/Martial/Jovic/Rashford
RW-Rashford/Lingard/Dembele..
LW-Martial/Rashford/Lozano.
Hapo nitafanya rotation nzuri tu kwa kuwa michuano ni mingi sana(Premier League,Efl,Fa,Champions League/Europa) na sitokuwa na wasiwasi na yoyote atakayeanza wala atakayeumia..pia kikosi changu hicho kitakuwa ni cha mipango ya muda mrefu kutokana na asilimia 98 ya kikosi hicho ni vijana wadogo.
Bila kusahau kuwatafutia game time ya kutosha vijana kama Angel Gomes, Mason Greenwood,Tahith Chong, James Garner pamoja na vijana wengine watakaopandishwa msimu huo..
NI MTAZAMO WANGU TU.
 
ila we jamaa umewananga hawa manyua.. Unajisahaulisha kwamba una mbwa mwitu fulani wakali sana wanakujia..
Hahaaaaaaa ,napumzika kidogo, navuta pumzi maana jumatano nakuja kuweka kambi hapa hadi asubuhi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Ed Woodward amemuhakikishia Ole Gunnar Solskjaer kuwa atampatia kiasi cha pauni milioni 200 kwa ajili ya kuimarisha ama ksuka kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na atajua mwenyewe jinsi gani ya kuzitumia hizo pesa..
Lakini kama mimi ningekuwa Ole ama ningepewa nafasi ya kumshauri asukeje kikosi chake basi ningeanza hivi
#Kupunguza wachezaji pale OT.
Achilia mbali Ander Herrera na David De Gea ambao hao wote inasemekana huenda wakahamia Psg msimu ujao pamoja na Paul Pogba ambaye anahusishwa sana na kutua Real Madrid msimu ujao hivyo sitowaweka kwenye mipango yangu kwa asilimia 100 na kama nitaamua kumuuza Pogba basi offload yangu itakuwa hivi
1.Paul Pogba-pauni mil 150
2.Eric Bailly-pauni mil 45
3.Chris Smalling-pauni mil 40
4.Alexis Sanchez-pauni nil 45
5.Marcos Rojo-pauni mil 30
6.Phil Jones-pauni mil 40
7.Ashley Young-pauni mil 20
Hapo kwa hiyo offload nitakuwa nimeingiza kiasi cha pauni mil 370 ukijumlisha na ile 200 ya Ed nakuwa na jumla ya pauni mil 570..ambayo nitaitumia yote kwa manunuzi haya
1.Jordan Pickford(26yrs GK)-pauni mil 40 from Everton.
2.Kalidou Koulbally(27yrs CB)-pauni mil 70 from Napoli.
3.Kostas Manolas(27yrs CB)pauni mil 40 from Roma.
4.Joao Cancelo(24yrs RB)pauni mil 55 from Juventus.
5.Matthijs De Ligt(19yrs CB) pauni mil 60 from Ajax.
6.Alex Grimaldo(23yrs LB) pauni mil 30 from Benfica.
7.Ruben Neves(22yrs DM) pauni mil 40 from Wolves
8.Bruno Fernandes(24yrs AM) pauni mil 55 from Sporting.
9.Hirving Lozano(23yrs RW) pauni mil 40 from Psv
10.Ousmane Dembele (21yrs LW) pauni mil 80 from Barca.
11.Luka Jovic(21yrs ST) pauni mil 60 from E.Frankfurt.

Note ; Usajili huo wote sio kwamba ni wakukurupuka ila nakuwa na backup ya wachezaji ambao hata akiumia mmoja unakuwa na backup ya uhakika mfano kwa kikosi kilichopo pale nikichanganya na hawa
GK-Romero/Pickford.
RB-Dalot/Cancelo
LB_Shaw/Grimaldo
CB-Lindelof na Koulbally/ De Ligt na Manolas.
CDM-Matic/Mctominay/Neves.
CAM-Perreira/Fred/Fernandes.
CF-Lukaku/Martial/Jovic/Rashford
RW-Rashford/Lingard/Dembele..
LW-Martial/Rashford/Lozano.
Hapo nitafanya rotation nzuri tu kwa kuwa michuano ni mingi sana(Premier League,Efl,Fa,Champions League/Europa) na sitokuwa na wasiwasi na yoyote atakayeanza wala atakayeumia..pia kikosi changu hicho kitakuwa ni cha mipango ya muda mrefu kutokana na asilimia 98 ya kikosi hicho ni vijana wadogo.
Bila kusahau kuwatafutia game time ya kutosha vijana kama Angel Gomes, Mason Greenwood,Tahith Chong, James Garner pamoja na vijana wengine watakaopandishwa msimu huo..
NI MTAZAMO WANGU TU.
Yaani Jones umuuze £40m??!!
 
COMMENT YA MSIMU
Ed Woodward amemuhakikishia Ole Gunnar Solskjaer kuwa atampatia kiasi cha pauni milioni 200 kwa ajili ya kuimarisha ama ksuka kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na atajua mwenyewe jinsi gani ya kuzitumia hizo pesa..
Lakini kama mimi ningekuwa Ole ama ningepewa nafasi ya kumshauri asukeje kikosi chake basi ningeanza hivi
#Kupunguza wachezaji pale OT.
Achilia mbali Ander Herrera na David De Gea ambao hao wote inasemekana huenda wakahamia Psg msimu ujao pamoja na Paul Pogba ambaye anahusishwa sana na kutua Real Madrid msimu ujao hivyo sitowaweka kwenye mipango yangu kwa asilimia 100 na kama nitaamua kumuuza Pogba basi offload yangu itakuwa hivi
1.Paul Pogba-pauni mil 150
2.Eric Bailly-pauni mil 45
3.Chris Smalling-pauni mil 40
4.Alexis Sanchez-pauni nil 45
5.Marcos Rojo-pauni mil 30
6.Phil Jones-pauni mil 40
7.Ashley Young-pauni mil 20
Hapo kwa hiyo offload nitakuwa nimeingiza kiasi cha pauni mil 370 ukijumlisha na ile 200 ya Ed nakuwa na jumla ya pauni mil 570..ambayo nitaitumia yote kwa manunuzi haya
1.Jordan Pickford(26yrs GK)-pauni mil 40 from Everton.
2.Kalidou Koulbally(27yrs CB)-pauni mil 70 from Napoli.
3.Kostas Manolas(27yrs CB)pauni mil 40 from Roma.
4.Joao Cancelo(24yrs RB)pauni mil 55 from Juventus.
5.Matthijs De Ligt(19yrs CB) pauni mil 60 from Ajax.
6.Alex Grimaldo(23yrs LB) pauni mil 30 from Benfica.
7.Ruben Neves(22yrs DM) pauni mil 40 from Wolves
8.Bruno Fernandes(24yrs AM) pauni mil 55 from Sporting.
9.Hirving Lozano(23yrs RW) pauni mil 40 from Psv
10.Ousmane Dembele (21yrs LW) pauni mil 80 from Barca.
11.Luka Jovic(21yrs ST) pauni mil 60 from E.Frankfurt.

Note ; Usajili huo wote sio kwamba ni wakukurupuka ila nakuwa na backup ya wachezaji ambao hata akiumia mmoja unakuwa na backup ya uhakika mfano kwa kikosi kilichopo pale nikichanganya na hawa
GK-Romero/Pickford.
RB-Dalot/Cancelo
LB_Shaw/Grimaldo
CB-Lindelof na Koulbally/ De Ligt na Manolas.
CDM-Matic/Mctominay/Neves.
CAM-Perreira/Fred/Fernandes.
CF-Lukaku/Martial/Jovic/Rashford
RW-Rashford/Lingard/Dembele..
LW-Martial/Rashford/Lozano.
Hapo nitafanya rotation nzuri tu kwa kuwa michuano ni mingi sana(Premier League,Efl,Fa,Champions League/Europa) na sitokuwa na wasiwasi na yoyote atakayeanza wala atakayeumia..pia kikosi changu hicho kitakuwa ni cha mipango ya muda mrefu kutokana na asilimia 98 ya kikosi hicho ni vijana wadogo.
Bila kusahau kuwatafutia game time ya kutosha vijana kama Angel Gomes, Mason Greenwood,Tahith Chong, James Garner pamoja na vijana wengine watakaopandishwa msimu huo..
NI MTAZAMO WANGU TU.
 
Ed Woodward amemuhakikishia Ole Gunnar Solskjaer kuwa atampatia kiasi cha pauni milioni 200 kwa ajili ya kuimarisha ama ksuka kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na atajua mwenyewe jinsi gani ya kuzitumia hizo pesa..
Lakini kama mimi ningekuwa Ole ama ningepewa nafasi ya kumshauri asukeje kikosi chake basi ningeanza hivi
#Kupunguza wachezaji pale OT.
Achilia mbali Ander Herrera na David De Gea ambao hao wote inasemekana huenda wakahamia Psg msimu ujao pamoja na Paul Pogba ambaye anahusishwa sana na kutua Real Madrid msimu ujao hivyo sitowaweka kwenye mipango yangu kwa asilimia 100 na kama nitaamua kumuuza Pogba basi offload yangu itakuwa hivi
1.Paul Pogba-pauni mil 150
2.Eric Bailly-pauni mil 45
3.Chris Smalling-pauni mil 40
4.Alexis Sanchez-pauni nil 45
5.Marcos Rojo-pauni mil 30
6.Phil Jones-pauni mil 40
7.Ashley Young-pauni mil 20
Hapo kwa hiyo offload nitakuwa nimeingiza kiasi cha pauni mil 370 ukijumlisha na ile 200 ya Ed nakuwa na jumla ya pauni mil 570..ambayo nitaitumia yote kwa manunuzi haya
1.Jordan Pickford(26yrs GK)-pauni mil 40 from Everton.
2.Kalidou Koulbally(27yrs CB)-pauni mil 70 from Napoli.
3.Kostas Manolas(27yrs CB)pauni mil 40 from Roma.
4.Joao Cancelo(24yrs RB)pauni mil 55 from Juventus.
5.Matthijs De Ligt(19yrs CB) pauni mil 60 from Ajax.
6.Alex Grimaldo(23yrs LB) pauni mil 30 from Benfica.
7.Ruben Neves(22yrs DM) pauni mil 40 from Wolves
8.Bruno Fernandes(24yrs AM) pauni mil 55 from Sporting.
9.Hirving Lozano(23yrs RW) pauni mil 40 from Psv
10.Ousmane Dembele (21yrs LW) pauni mil 80 from Barca.
11.Luka Jovic(21yrs ST) pauni mil 60 from E.Frankfurt.

Note ; Usajili huo wote sio kwamba ni wakukurupuka ila nakuwa na backup ya wachezaji ambao hata akiumia mmoja unakuwa na backup ya uhakika mfano kwa kikosi kilichopo pale nikichanganya na hawa
GK-Romero/Pickford.
RB-Dalot/Cancelo
LB_Shaw/Grimaldo
CB-Lindelof na Koulbally/ De Ligt na Manolas.
CDM-Matic/Mctominay/Neves.
CAM-Perreira/Fred/Fernandes.
CF-Lukaku/Martial/Jovic/Rashford
RW-Rashford/Lingard/Dembele..
LW-Martial/Rashford/Lozano.
Hapo nitafanya rotation nzuri tu kwa kuwa michuano ni mingi sana(Premier League,Efl,Fa,Champions League/Europa) na sitokuwa na wasiwasi na yoyote atakayeanza wala atakayeumia..pia kikosi changu hicho kitakuwa ni cha mipango ya muda mrefu kutokana na asilimia 98 ya kikosi hicho ni vijana wadogo.
Bila kusahau kuwatafutia game time ya kutosha vijana kama Angel Gomes, Mason Greenwood,Tahith Chong, James Garner pamoja na vijana wengine watakaopandishwa msimu huo..
NI MTAZAMO WANGU TU.
Dembele??, kwa nini barca wamuuze?

We jamaa utakuwa negotiator mzuri sana ,umuuze smalling kwa 40ml.??
Then umununue Neves kwa 40ml.??


Sent using simu mbovu
 
Nimeanza kufuatilia mpira zaidi ya miaka 20 ss... UEFA sio La liga wala EPL... Always timu ambazo haziko vizuri saana ndio hupata matokeo..
KUMBUKA MAN U YA 2008/09 ILIKUWA BORA MBELE YA BARCA LAKINI ILIFUNGWA KWENYE FAINALI..
GAME HII NAONA WAZI BARCA AKIPOTEZA KWA GOLI 2-0
Kwann nasema hivyo.. Uchezaji wa Barca ni rahisi kudhibitika hasa na Man u ukizingatia aina ya viungo wa Utd...
Ebu fikiria man U wakianza na HERERA, POGBA NA MATA... RASHFORD NA MARTIAL KULE MBELE.. unaona jinsi gani barca watalazimishwa kushuka na kutotembea kasi mbele.. hii itawafanya wafungwe..
KWANGU MM BARCA SAFARI YAKE IMEISHIA HAPO..
Daaaaaaah we jamaa Man u ya 2008/ 2009 ilikua bora kuliko Barca kivip kwa mfano. Au umeandka kujitia Moyo.
Labda ka ungeniambia mpira lolote linaweza kujitokeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom