Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnatujazia uzi wetu na vitu vya kipuuzi..

Tuacheni tujadili mambo yetu ya msingi..

Watu jana mmefungwa na Everton na hamna hata away cleansheat hata moja mnazidiwa hadi na Huddersfield iliyoshuka daraja,,mnapata wapi nguvu ya kutusumbua kwenye uzi wetu??
Subir mmalize nafas ya 6 ,ndio mtajadili vzr

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mnatujazia uzi wetu na vitu vya kipuuzi..

Tuacheni tujadili mambo yetu ya msingi..

Watu jana mmefungwa na Everton na hamna hata away cleansheat hata moja mnazidiwa hadi na Huddersfield iliyoshuka daraja,,mnapata wapi nguvu ya kutusumbua kwenye uzi wetu??
Wewe hizo cleansheet za away zimekusaidia nn ,mbona umeganda namba 6

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mnatujazia uzi wetu na vitu vya kipuuzi..

Tuacheni tujadili mambo yetu ya msingi..

Watu jana mmefungwa na Everton na hamna hata away cleansheat hata moja mnazidiwa hadi na Huddersfield iliyoshuka daraja,,mnapata wapi nguvu ya kutusumbua kwenye uzi wetu??
Nyie wenye cleansheat nyingi kuzidi wao zimewasaidia nini au mmewashinda nini na hizo cleansheat za away
 
Club yenu haina DM potential for long time na wakati huo huo Matic mwenyewe sio World Class DM

Mchukueni huyu dogo wa kibrazil si mnajua mpira ulivumbuliwa China wakajua kucheza Wabrazili

Anaitwa Bruno Guimares , yaani dogo wa mwaka 1997 tu huyo

 
Kwa Man u ilivodevela saizi, zile beki Za kuna smaliing, young,

Wajiaandae kipigo cha ubwa koko

Wolves tu wamewanyoosha mara Mbili mfululizo sembuse barce...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesema ukweli

Barcelona ni wanyonge kwenye counter attack

Pia wana weekness kwenye physical game


Kwangu bado ninaamini PSG ya mwaka huu ni nzuri kuliko Barca
Jamaa anajaribu kutupaka mafuta kwa............

Ila revenge ya zile fainali mbili(2009,2011)
Nitaisubiri hata miaka zaidi ya 50. Niliumia sana.





Sent using simu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barcelona ni wazuri ila ni hatari sana wanapokuwa na Messi.

Kuna watu watatu pale Barca kwangu wananipa homa sana Messi, Suarez na Rakitic
Sijui tutawakabaje hawa watu japo there is a way out there to do
Amesema ukweli

Barcelona ni wanyonge kwenye counter attack

Pia wana weekness kwenye physical game


Kwangu bado ninaamini PSG ya mwaka huu ni nzuri kuliko Barca

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game iliyoniumiza sana ni ile ya kupigwa 3 bila pale San Sirro kaka akipiga mbili sikulala siku mbili naiwaza ile game how tulivyokuwa outclassed
Jamaa anajaribu kutupaka mafuta kwa............

Ila revenge ya zile fainali mbili(2009,2011)
Nitaisubiri hata miaka zaidi ya 50. Niliumia sana.





Sent using simu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brazilian player ??? Not fit for EPL
Club yenu haina DM potential for long time na wakati huo huo Matic mwenyewe sio World Class DM

Mchukueni huyu dogo wa kibrazil si mnajua mpira ulivumbuliwa China wakajua kucheza Wabrazili

Anaitwa Bruno Guimares , yaani dogo wa mwaka 1997 tu huyo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesema ukweli

Barcelona ni wanyonge kwenye counter attack

Pia wana weekness kwenye physical game


Kwangu bado ninaamini PSG ya mwaka huu ni nzuri kuliko Barca

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongeaga pumba ,ngoja tuone jumatano , kama hamjakarangwa za kutosha,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Unaongeaga pumba ,ngoja tuone jumatano , kama hamjakarangwa za kutosha,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Unatia huruma, unavyozurura kwenye uzi wa watu wengine

Ndio maana sishangai wanavyokuita domokaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatia huruma, unavyozurura kwenye uzi wa watu wengine

Ndio maana sishangai wanavyokuita domokaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuongea pumba na uchambuz uchwara, unakumbuka uliletaga uchambuz uchwara tukakubamiza 2-0

Leo umekuja na uchambuz uchwarwa tena kuhusu barca

Jumatano nakuja kufukua makaburi

Maana manyumbu akili zenu mnazijua wenyewe,timu lenu bovu halafu unawaza kuwafunga barca kwa kuvizia ,hahaaaaa
tapatalk_1554668756694.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Back
Top Bottom