Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Jones na wenzake wanaubavu kweli hapa, kama timu yenye defense solid hivi imetobolea kirahisi sanaDuh huyu Messi hatari jamani
Jones na wenzake wanaubavu kweli hapa, kama timu yenye defense solid hivi imetobolea kirahisi sanaDuh huyu Messi hatari jamani
I see them smilling bcoz their mission of seeing mess is accomplished
Mkuu mi naomba nikusaidie kuambatanisha na tupicha kidogo... Lieleweke ulisemalo hapoNamsikitia sana Smalling/Jones wakikutana na Messi Nou Camp...Naona goli 4/5 zikipatikana.
Athletico wana watu wa kazi kwelikweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. . Umeongea kwa hisia sana.. Wewe Ni manure eeUnajua huyu mzee OGS simuelew kabsa. Saiv kafunga safar anaenda kuangalia game ya ATM vs Barca. Ndiyo yaleyale, alikula nauli akaenda kuangalia game ya Psg, timu ikashonwa 2. Saiv anatafuna nauli nyingn tena anaenda kuwaangalia barca, atashonwa ngap sasa? Hata kama hiyo hela haiathiri kitu lakin ni unazi. Hich kiherehere cha kuchawia mechi zawatu ni kibaya sana! Si ukae kweny makochi nyumban uangalie kweny tv!!
Sasa kwanini hakusafir kuangalia game ya Wolves wakicheza na burnely? Huu unazi asifikir kuna sehem anafika.
Mbn kina Klopp, pep, Allegri, ten Hag wa Ajax hawawashwi kufata timu pinzan nyumbn kwao? Wao hawana papara, wanaelewa kazi ilivyo.
Ahahah!!! Naona ni ratiba tu mnasubirMkuu. . Umeongea kwa hisia sana.. Wewe Ni manure ee
Mapicha za kutisha.Mkuu mi naomba nikusaidie kuambatanisha na tupicha kidogo... Lieleweke ulisemalo hapoView attachment 1064598View attachment 1064599
Ahahah!!! Naona ni ratiba tu mnasubir


Labda angemuomba ushauri messi
Jones na wenzake wanaubavu kweli hapa, kama timu yenye defense solid hivi imetobolea kirahisi sana View attachment 1064596
Hakuna kinachosaidia yeye kuenda kuangalia Game ya Barcelona timu inatakiwa ikomalie Top 4 tuelewane hata tukimfunga Barcelona hatuwezi kuchukua ubingwa bila kuwa na mipango sahihi msimu ujao timu itaenda Futuhi na wachezaji wazuri watahama timu
Sizani kama usiku wa leo utakua mnono wa ole Gunnar na man u players hasa hasa de gea (mikono 100)
Naona ni usiku wa kuweweseka sana na JINI M10 LAPULGA
Mimi binafsi nataka mpasuke nyingi, kipigo cha chini goal 7 (home and away)
Asanteni![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
See youMara ya mwisho kuchukua champions league ni lini?? au Messi mmemsajili msimu huu? Lolote linawezekana ngoja muone j5 itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakuona tayari umeshaweka kambi mapema
Mkuu nimefuatilia football muda sana na nlichogundua kinachoamua game sio ubora wa kikosi ni tactics na mipango tu ..... wazee wenyewe wa odd walikuwa wanaseza kumpa man u odd 9 huko alafu Barça wampe odd 1 lakin hawawezi rhinitis na wakithubutu watafilisika wote.....My fellow ManUtd followers/supporters , Binafsi naungana na wanaochambua kwa undani hasa suala na combination ya kikosi chetu ManU.
Jamani kiuhalisia naikumbuka kabisa Mechi ya Barcelona na ManU golini alikua Van De Saar .... Ilikuwa FEDHEHAA ya kwaka ni sawa na Ndanda wakacheza na Al Ahaly au Everton....kwa macho meupeeeeeee utaona utofauti (u ll see clearly the difference by only naked eyes -nasisitiza)
Na kwakweli kama kuna mshabiki au mtu mwenye mapenz ya dhati na Timu hii HAWEZI KUTANDIKA MKEKA KWA UHAKIKA KUWA MECHI IPO 50/50 NA MANU ATASHINDA ......HAYUPO....na kama yupo afanye kama anajikuna.....
Frankly speaking, have no guts to watch the Humiliation. I will wait for lose results.......
Simple comparison YOUNG, JONES,SMALLING, LUKAKU, MCTOMINAY,DALOT, PEREIRRA, BAILY,LINDEROFF, .....UNAACHA HAWA UNAMUUZA MIKITHARIAN,
Duu, haya Kwenda kukutana na kina MESSI, SUAREZ,COUTIHNO, DEMBELE, DUUUUUU HAYA NAISHIA HAPO YANGU MASIKIO
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa shabiki wa Barcelona ningekuwa disappointed sana
Naona anatajwa Messi zaidi kuliko inavyotajwa Barcelona
Tuiite basi Messi Fc, na sio Barcelona Fc
Sent using Jamii Forums mobile app