United has become more of a business club than a football club, Pogba miaka miaa hauzwiiii, sababu anabeba biashara za united kwa sasa, hatuleti watu wa mpira, tunaleta watu wa biashara zaidi uwanjani, ni mpaka united tutapokubali kuangalia mpira zaidi ndipo tutaanza safari ya kwenda kwenye ubora sasa,
Enzi za SAF alikuwa analeta cristiano hajulikani, lakin uwezo wake ulikua moto, akina anderson, luis nani, rafael na fabio, nani alimjua nemanja vidic?? Pat Evra, Lakin sisi leo tunataka kuuza jezi kuliko ushindi uwanjani, tunaleta di maria, falcao, sanchez, pogba, mikhi, wachezaji wengi sana wenye 28+ yrs, wachezaji waliotemwa wakaonekana hawafai wamekosa namba huko madrid kwao sisi ndo lulu,
Kuna sababu kwanini Klopp na Pep walikataa dili ya united, wakasema program yao sio nzuriii.
Sent using
Jamii Forums mobile app