Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

F8597FF5-17EA-4E5C-8063-CEADD418220E.jpeg
 
Hahaaaaa
IMG-20190403-WA0006.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Man u has rejected offers from Real Madrid who has shown interest of signing Chris Smalling. Madrid are reported that they are willing to pay £ 120 Million plus Benzema. But man u has confirmed that they are not interested with that business.

Sources: Kolomije TV.


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Watu bana.. Kuna Mtu kaaweka status kwamba "Man u mkitaka kufuzu UCL quoter final mpunguze bei ya Heinken"

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Wakuu poleni na matokea haya, bado niko na ninyi kuhakikisha kwamba haya matokeo yanawauma hivyo mcheze kufa kupona dhidi ya City.
Sisi watu wa arsenal tunaomba man city amkarange manyua ,pia game na Chelsea iishe sare

Kwa mpira ule wa Watford na ule wa Jana wa wolves ,unawadhamini vip man u?

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Sisi watu wa arsenal tunaomba man city amkarange manyua ,pia game na Chelsea iishe sare

Kwa mpira ule wa Watford na ule wa Jana wa wolves ,unawadhamini vip man u?

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Derby ni kitu ingine mkuu, mwaka jana Man Utd alifanya comeback ya 2 - 0 na kumaliza game kwa 2 - 3.

So ninawaamini Man Utd.
 
Nani anamtaka Pogba tena hapa??

Hii sio UNITED! Uza players wote tubaki na Rasford, De Gea na Show wengine woote hawana sifa za kucheza hapa.

Afu kuwa positive ni sawa ila kutetea ujinga ni upumbavu, OSG alisema haitaji beki!! Hivi ni kweli hatuhitaji beki??

Tunampenda ila ajue mafanikio ya team ndio furaha yetu si hizo posivities zake na aache unafiki, tunataka wachezaji wazuri UNITED.
Young
Smalling
Jones
Lingard
Valencia
Darmian
Sanchez
Rojo
Matic

Wauzwe kesho asubuhi.

Fred aende mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh yani tumekuwa team ya ajabu.
Kutoka kuwa best team in england. Siku zinaenda aise ,yote haya sababu ni Poor management from owners.

Sent using simu mbovu
Inasikitisha mno.

Florentino Perez namkubali sana. Kama aliweza muuza CR7, basi angekuwa Man Utd angeshauza kikosi kizima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom