Jay Gatsby
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 697
- 928
Heheh...Hivi mnacheki mechi ya Chelsea hko??


tusiwatenge wapinzani jamani Cardiff wameachia. Hata hivyo ni offside ya wazi. Chelsea wameokolewa na refa.Heheh...Hivi mnacheki mechi ya Chelsea hko??
Cardiff wameachia. Hata hivyo ni offside ya wazi. Chelsea wameokolewa na refa.
Top 4 ni muhimu kuirudisha timu kwenye track kuliko rekodi. Kutoshiriki Champions League kunaathiri sana brand na inatatiza ku-attract best talents na top class players kuja United.Unataka ugomvi na mashabiki maandazi wa Manchester, they know nothing about rivalry in football, imagine anakuambia hatushindani na liver inamaana tunashindana na spurs![]()
Naungana na wewe..there is nothing we can do we that combo anymore i.e Pogba Matic Herrera
Unachokisema ni kweli wachezaji ni tatizo pia.nadhani tatizo ni performance za wachezaji wetu hazieleweki.kama hoja ni muda mbona sarri imemchukua mwezi mmoja tu kubadilisha mfumo mzima wa kiuchezaji pale chelsea japokuwa kwa sasa matokeo yao hayaridhishi na hata ukiangalia kwenye soko la usajili amemleta jorginho peke yake.
mkuu, ndoto yako unataka kuona msimu ujao tunacheza soka la aina gani?Unachokisema ni kweli wachezaji ni tatizo pia.
Lakini kumbuka pia Sarri alikuwa nao pre-season, akijiandaa kwajili ya ligi nzima.
Ukija kwa Ole, kama sikosei katangazwa katikati ya wiki, weekend kuna mechi.
Halafu kilikuwa kipindi kile cha mechi za kila baada ya siku tatu. Akatoka hapo akutana na mechi ngumu.
Sidhani kama inakuwa rahisi kubadili mfumo ktk hali kama hiyo.
Sent using simu mbovu
Soka la kuvutia mkuu+matokeo mazuri.mkuu, ndoto yako unataka kuona msimu ujao tunacheza soka la aina gani?
unadhani mabadiliko ya kiuchezaji yatatokezea ndani ya pre season?
teh teh teh kwa nini nisiamini.Soka la kuvutia mkuu+matokeo mazuri.
Inawezekana.
Mfumo sahihi kwa watu sahihi(usajili muhimu).
Usiniambie huamini kama kuna mabadiliko yatatokea.
Sent using simu mbovu
Ni kweli mtu kama young, hawawezi badilika. So usajili sahihi ni muhimu.teh teh teh kwa nini nisiamini.
lakini fahamu ya kwamba kuna wachezaji hawawezi kubadilika kiuchezaji.
Ndio niliomba draw, kumbuka Spurs bado ana CityTop 4 ni muhimu kuirudisha timu kwenye track kuliko rekodi. Kutoshiriki Champions League kunaathiri sana brand na inatatiza ku-attract best talents na top class players kuja United.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machache niliyoyaona kupitia game ya Jana
1.Boring football-kiungo kilikuwa butu zaid ya butu yenyew na hili limeanzia tangu game na Arsenal matic(umri wa kuendelea kuwa kwenye top level umekwisha) sio mtu wa kutegemewa km tunahitaji kweli Ku rebuild united yenye ushindan kwenye modern era ya mbungi tunahitaji DM strong next season herera tangu arudi kutoka kwenye injury amepotea kabsa na kwa miaka yangu ambayo nimemuangalia Herera n aina flan ya viungo ambao hawawez kuwa kweny kiwango bora kwa msimu mzima n kam homa za vipindi inahitajika backup
2.Mechi ya jana naeza kusema hatukustaili kupata alama 3 may be 1 ilikuwa sawa kulingana na mechi ilivokuwa lakn ndio football ilivo sometimes can be cruel kitu nime notice kwa aina ya hawa wachezaj wetu mfano pogba ni tukubali kuna mda unaona wanahitaji kocha flan mbabe wana utoto utoto ambao hatakiw kuwa nao top player pia kitu kinacho wasumbua wachezaj wetu wa mbele Ni consistency hawana wanacheza vzr kipind flan tu cha msimu sehem kubwa wanazngua players wa aina hii km wataendelea hiv kushindwa ubingwa itakuwa n swala gum sana
3.mwsho kabsa tunahitaji kuongeza nguvu kwenye backline yetu hopefully tungepata complete CB moja,RB na LB tunaweza kushindan pia midfield tungeongeza watu wa wili msimu ujao tutakuw washindan halisi
"Ole gunnar solskjaer will not be a success at united unless the club gets the right players in"
Garry Neville
Sent using Jamii Forums mobile app
Wan Bissaka sawa,ila hao wengine sidhani kama tutakuwa tumelamba dume..Sancho dortmund wanataka £90+,,sasa huu si ukichaa??
Naamini sokoni kuna watu wakali tu ambao wakiletwa timu yetu ita-advance
√Bruno Fernandez (Sporting Lisbon)
√Erisken(Spurs)
√Wan Bissaka (crystal Palace)
√Douglas Costa (Juventus)
√Bergwijn (PSV eindhoven)
Hawa watoto wa kiingereza wataitaji maturity kitu ambacho kwa sasa hatukiitaji
Media za kiingeraza ni za hovyo kuwahi kupata kutokea..too selfish
Muda utakuwa ni mwalimu mzuri kuhusu Ole na mipango yake,kama atakuwa anatujazia waingereza pale sijui tutakuwa ni timu ya aina gani
Kwa Odoi na Wan Bissaka mimi ninaona ni shobo tu za kutamani mchezaji kwa kuwa hatunaye, sikatai kuwa ni wachezaji wenye uwezo lakini sioni kama wao wataongeza kwenye kile tulichonacho
Dalot na Chong wanaweza kufanya hicho wanachofanya hao madogo tunaowashobokea. Tunamuwaza vipi Odoi wakati tuna akina Gomez na Greenwood?
Sancho is a big deal, nimeangalia mechi alizocheza na Spurs (UCL), nimeangalia mechi alizoitwa National Team, nimeangalia highlights zake YouTube na nimeangalia stats zake kwenye assists na goli alizofunga anaonesha ana uwezo sana, especially kwenye ku create chances, kitu ambacho kwa sasa tunamtegemea kupita kiasi kijana wa Raiola (Juda). Angalau tukiwa na creators kadhaa kwenye timu inasaidia.
Kama hatutampata dogo Sancho, tumfukuzie Hirvin Lozano na si Odoi
Sent using Jamii Forums mobile app