Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Man u wala haiwezi kumsajili Odoi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Odoi na Wan Bissaka mimi ninaona ni shobo tu za kutamani mchezaji kwa kuwa hatunaye, sikatai kuwa ni wachezaji wenye uwezo lakini sioni kama wao wataongeza kwenye kile tulichonacho
Dalot na Chong wanaweza kufanya hicho wanachofanya hao madogo tunaowashobokea. Tunamuwaza vipi Odoi wakati tuna akina Gomez na Greenwood?
Sancho is a big deal, nimeangalia mechi alizocheza na Spurs (UCL), nimeangalia mechi alizoitwa National Team, nimeangalia highlights zake YouTube na nimeangalia stats zake kwenye assists na goli alizofunga anaonesha ana uwezo sana, especially kwenye ku create chances, kitu ambacho kwa sasa tunamtegemea kupita kiasi kijana wa Raiola (Juda). Angalau tukiwa na creators kadhaa kwenye timu inasaidia.
Kama hatutampata dogo Sancho, tumfukuzie Hirvin Lozano na si Odoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app