Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man u wala haiwezi kumsajili Odoi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tukimpata Wan Bissaka na Sancho sahv for sure hao watamprove team, Declan Rice sijamuangalia vizuri ila kwa haraka haraka sidhani kama amemzidi sana Mctominay na Odoi bdo sio improvement ila ana potential ya kuwa top player baadae akiwa managed vizuri..huo ni mtizamo wangu
 
Hivi huyu Bissaka wa nini mbona Diogo Dalot yupo vizuri tu ?
Mbona Ashley Young anacheza vizuri sana hiyo position ?
Matteo Damian je ?
Au kwa sababu ni mchezaji mzuri tu lazima aje United ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu Bissaka wa nini mbona Diogo Dalot yupo vizuri tu ?
Mbona Ashley Young anacheza vizuri sana hiyo position ?
Matteo Damian je ?
Au kwa sababu ni mchezaji mzuri tu lazima aje United ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijasema aje UTD nimesema ni improvement na nimejibu kulingana na swali lilivyoulizwa,kwamba mfano wakija tutakuwa tumelamba dume au? Lbda uniulize kwann ni improvement hapo ntakuelewa!
 
Hamna kwanza man u haina mapungufu ya fullbacks na goli chache sana tumefungwa kutokana na kupwaya kwa full backs.

Nachoona Mimi nikuongeza right wing tu kwa upande huo
Sijasema aje UTD nimesema ni improvement na nimejibu kulingana na swali lilivyoulizwa,kwamba mfano wakija tutakuwa tumelamba dume au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nadhani ni sehemu ya ujinga flani kwa Man U kuwaweka hao watoto kama main target zao. Hii timu kwa sasa inahitaji wachezaji Wa kushindana sio Wa kuwakuza. Watoto Wa kuwakuza hata pale klabuni wapo. Hata kina Martial,Rashford,chong, Gomez, greenwood, dalot,mctomminay,Pereira,Garner nk ni Wa kukuzwa pia,sasa tukiongeza hivo vitoto si tutageuka academy sasa!?
 
Hamna kwanza man u haina mapungufu ya fullbacks na goli chache sana tumefungwa kutokana na kupwaya kwa full backs.

Nachoona Mimi nikuongeza right wing tu kwa upande huo

Sent using Jamii Forums mobile app

Hauko serious mzee UTD haina mapungufu ya FB?? Shaw akiumia utamtegemea nani?Young kaongeza mkataba wa mwaka mmoja na sahv ana miaka 33,Valencia ndo hyo anasepa msimu huu ukiisha,hapo unabakiwa na Darmian mtu ambae hana consistency kbsa na Dogo ambae kaanza kucheza top level juzi kati na kukaba hajui alafu ndo ukashinde ubingwa? hebu jifikirie mara mbili
 

Mkuu Alan Hansen Mchambuzi wa mpira alishawahi sema hvi kuhusu United mwaka 95, "You can't win anything with Kids" Mwaka huo tulishinda Ubingwa na watoto wa Academy akina Scholes,Giggs,Nick Butt, na Beckham baada ya kushinda Babu akamjibu Hansen "If their good enough,then their Old enough" Watoto ndo future Mkuu, usipo mnunua leo utakuja kumnunua baadae kwa mabilioni ya Pesa
 
Ni sahihi sana,ninachopinga Mimi ni kwamba naona Man U wanawahitaji hao watoto kama ni sehemu ya kutengeneza timu ya ubingwa msimu ujao kwa maana lengo lao mojawapo la msimu ujao ni kuchukua ubingwa Wa ligi kitu ninachoamini si rahisi kwa maana mpira umebadilika sana siku hizi,watu wanawekeza kwelikweli kwenye kutafuta ubingwa. Kama wanaweza wasajili hao watoto for future wakati huohuo wasajili matured talented players kwa ushindani Wa ndani na nje
 

Mimi pia sio fan mkubwa sana wa watoto sema ninacho amini ni kwamba kama mtu anauwezo haijalishi kama ni mdogo mfano Monaco walishinda Ubingwa mbele ya Psg Wakiwa na Mbappe,Mendy,Bernado Silva,Thomas Lemar,Bakayoko wote hao walikuwa first 11 na walikuwa chini ya miaka 22,Bayern sahiv inawategemea Gnabry,Sule na Coleman walikuwa wanmtaka na hyo Odoi,Barca wana Dembele,Malcom.wametoka mnunua na hyo De jong na De ligt anaweza enda pia Madrid ndo wototo wakumwaga,City wana Sane,Jesus na Zynchenko,Dortmund ndo tusiongee kbsa Mpka hapo naamini unaanza kuona trend inaendaje
 
Watu wanaotaka tusajili Full Back wana hoja ya msingi

Ashley Young msimu ujao anafikisha miaka miaka 34 na kushinda kombe na full back wa miaka 34 ambaye alibadilishwa kutoka kuwa winger ni jambo gumu sana

Valencia, Darmian msimu ujao hatutakuwa nao tena pale United, hilo lipo wazi

Hii itatufanya kubaki na Shaw, Dalot na Young (ambaye umri si rafiki kwake/kwetu) kwa nafasi za full backs

Nikitazama Academy sioni full back wa ku take over kwani madogo tulionao umri bado hauwaruhusu kucheza katika level ya juu. Kuna dogo anaitwa Ethan Laird ((RB) na Brandon William (LB)

Nikichungulia waliopo loan, namuona TFM na Borthwick Jackson, are they good enough for tilltle surge? I don't think so. Pia yupo Tuanzebe ambaye anaweza cheza full back, lakini kwa asili ni CD.

Option nyingine ni kuchezesha wachezaji out of position. Bailly anaweza kucheza FB, Ice Man anaweza kucheza full back, pia Jones na Smalling wanaweza kucheza full back. Tukumbuke tunampango wa kununua CD, hivyo hawa jamaa wanaweza kupisha mgeni (hope it is Koulibally). Lakini je tunaweza kuchukua kombe kwa kuchezesha wachezaji out of position, SIDHANI.

Kwahiyo tunarudi pale pale kwamba ni kweli tunahitaji FB.

Lakini je tunahitaji full back kama tunavyohitaji Central Defender, Midfielder na Winger mpika mabao? HAPANA. Je Ed/Glazers wapo tayari kutoa mpunga wa kusajili wachezaji 4 (world class players)? SIDHANI. Nadhani, nasisitiza nadhani utatoka mpunga wa kusajili wachezaji 3.

Hivyo kama Ed atatoa mpunga wa wachechaji 3 (jambo ambalo nawaza ndio litatokea), tunapaswa kutazama options ya madogo wa academy ama waliopo loan ili kuwa na back up ya full backs next season. Lakini mpunga wa wachezaji 4 ukitolewa naona ni jambo la lazima kununua full back

Wan Bissaka au nani? Ni ukweli usiopingika kua dogo ni mzuri sana, lakini pia tuna dogo mwingine ambaye pia ni mzuri, anaitwa Dalot. Hivyo katika kununua beki ninaona ni vyema tukinunua more experienced full back, mfano Thomas Meunier wa PSG (shabiki kindaki ndaki wa United) au Sidibe wa Monaco. Hiyo ni mifano tu, tunaweza kupata mabeki wengine. Hawa mabeki wazoefu watamfanyia Dalot mentoring akiendelea kujifunza.

Huo ni mtazamo wangu masela msijenge chuki (Utani tu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…