Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ok kumbe nimedandia gari kwa mbele, 🙏🙏🙏
mechi yao itakuwa ni mwezi wa tano hivyo basi ndani ya mwezi mmoja huu yeyote anaweza kupoteza muelekeo kati yenu.
kadri mutakavyoendelea kupata ushindi mutazidi kuwapa pressure lakini mukipoteza alama ovyo itakuwa ni kizaazaa.

Kwa kikosi chao na ile kuwa na kocha mwenye winning mentality naona watatushindia hapo.

Sisi kocha wetu siyo risk taker, anaogopa kusemwa hivyo analazimisha kuchezesha wachezaji wanaopendwa na wanazi ili tu asipondwe kama tukifungwa.
 
Kwa kikosi chao na ile kuwa na kocha mwenye winning mentality naona watatushindia hapo.

Sisi kocha wetu siyo risk taker, anaogopa kusemwa hivyo analazimisha kuchezesha wachezaji wanaopendwa na wanazi ili tu asipondwe kama tukifungwa.
jamaa yenu hunishangaza sana kwenye mechi za ugenini anavyopenda kumuanzisha henderson, klopp ana chembe chembe za uoga uliopitiliza.
msimu ujao muingie tena sokoni ili muongeze upana wa kikosi cha kwanza.​
 
jamaa yenu hunishangaza sana kwenye mechi za ugenini anavyopenda kumuanzisha henderson, klopp ana chembe chembe za uoga uliopitiliza.
msimu ujao muingie tena sokoni ili muongeze upana wa kikosi cha kwanza.​

Sasa hivi Klopp kashanikera mpaka nimezoea, nimeamua kuamini kwamba hatuwezi kuchukua ubingwa chini yake.

Ikitokea ni kheri, ila siyo risk taker.
 
Sasa hivi Klopp kashanikera mpaka nimezoea, nimeamua kuamini kwamba hatuwezi kuchukua ubingwa chini yake.

Ikitokea ni kheri, ila siyo risk taker.
Liverpool alipo ni pazuri. Akianza issue za trial and errors inaweza kupoteza timu. Liver tatizo siyo kocha sema wachezaji wamechoka. Mpira wa Liver na Tots ni wa nguvu na kasi, kocha anapaswa kuwa na kikosi kipana ili kufanya rotation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The coach after me [Mourinho] changed to park-the-bus tactics and played on the counter. Now there is another coach who parks the bus and plays on the counter. The main difference between Mourinho and Solskjaer is that Solskjaer is winning.

kwa hisani ya bwana louis van gaal
 
Liverpool alipo ni pazuri. Akianza issue za trial and errors inaweza kupoteza timu. Liver tatizo siyo kocha sema wachezaji wamechoka. Mpira wa Liver na Tots ni wa nguvu na kasi, kocha anapaswa kuwa na kikosi kipana ili kufanya rotation

Sent using Jamii Forums mobile app

Pazuri ukilinganisha na wapi?

Hapa tunazungumzia timu iliyokuwa 7 points on top ndani ya miezi miwili, leo iko nyuma kwa 4 points.

One is regressing and the other progressing. You can easily predict the future outcome basing on current trend.
 
Machache niliyoyaona kupitia game ya Jana

1.Boring football-kiungo kilikuwa butu zaid ya butu yenyew na hili limeanzia tangu game na Arsenal matic(umri wa kuendelea kuwa kwenye top level umekwisha) sio mtu wa kutegemewa km tunahitaji kweli Ku rebuild united yenye ushindan kwenye modern era ya mbungi tunahitaji DM strong next season herera tangu arudi kutoka kwenye injury amepotea kabsa na kwa miaka yangu ambayo nimemuangalia Herera n aina flan ya viungo ambao hawawez kuwa kweny kiwango bora kwa msimu mzima n kam homa za vipindi inahitajika backup

2.Mechi ya jana naeza kusema hatukustaili kupata alama 3 may be 1 ilikuwa sawa kulingana na mechi ilivokuwa lakn ndio football ilivo sometimes can be cruel kitu nime notice kwa aina ya hawa wachezaj wetu mfano pogba ni tukubali kuna mda unaona wanahitaji kocha flan mbabe wana utoto utoto ambao hatakiw kuwa nao top player pia kitu kinacho wasumbua wachezaj wetu wa mbele Ni consistency hawana wanacheza vzr kipind flan tu cha msimu sehem kubwa wanazngua players wa aina hii km wataendelea hiv kushindwa ubingwa itakuwa n swala gum sana

3.mwsho kabsa tunahitaji kuongeza nguvu kwenye backline yetu hopefully tungepata complete CB moja,RB na LB tunaweza kushindan pia midfield tungeongeza watu wa wili msimu ujao tutakuw washindan halisi

"Ole gunnar solskjaer will not be a success at united unless the club gets the right players in"

Garry Neville

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijawahi kumuona sancho zaidi ya youtube.
sijawahi kumuona declan rice ambaye yupo west ham
wan bissaka namuona dhidi ya manchester united wanapokutana
Odoi ndio hivyo sina muda wa kuangalia mechi za chelsea.

wajuzi wa mambo tafadhalini naomba mutusaidie, endapo tutawapata wawili kati ya hao je tutakuwa tumeramba dume au ndio yale yale ya kila siku?
Tanayzer umekuwa ukiwapigia chapuo sana hao jamaa wasajiliwe naomba utusaidie.
Wan Bissaka sawa,ila hao wengine sidhani kama tutakuwa tumelamba dume..Sancho dortmund wanataka £90+,,sasa huu si ukichaa??

Naamini sokoni kuna watu wakali tu ambao wakiletwa timu yetu ita-advance

√Bruno Fernandez (Sporting Lisbon)

√Erisken(Spurs)

√Wan Bissaka (crystal Palace)

√Douglas Costa (Juventus)

√Bergwijn (PSV eindhoven)

Hawa watoto wa kiingereza wataitaji maturity kitu ambacho kwa sasa hatukiitaji
 
Wan Bissaka sawa,ila hao wengine sidhani kama tutakuwa tumelamba dume..Sancho dortmund wanataka £90+,,sasa huu si ukichaa??

Naamini sokoni kuna watu wakali tu ambao wakiletwa timu yetu ita-advance

√Bruno Fernandez (Sporting Lisbon)

√Erisken(Spurs)

√Wan Bissaka (crystal Palace)

√Douglas Costa (Juventus)

Hawa watoto wa kiingereza wataitaji maturity kitu ambacho kwa sasa hatukiitaji
angelikuwepo mourinho nisingelikuwa na stress kuhusiana na wachezaji wa kiingereza.
smalling, jones, young, shaw, rashford, lingard, mctominay wameshatosha hatuhitaji wazembe wengine.
kiukweli hatufahamu anachokiwaza OGS muda huu.
je ana tabia za baba yake ferguson za kutafuta english players ili awasaidie FA?

tetesi za douglas costa zimezikwa rasmi kwenye media za kiingereza tunachezeshwa mdundo wa sancho, odoi.
 
The coach after me [Mourinho] changed to park-the-bus tactics and played on the counter. Now there is another coach who parks the bus and plays on the counter. The main difference between Mourinho and Solskjaer is that Solskjaer is winning.

kwa hisani ya bwana louis van gaal

Game ya jana imeprove maneno ya huyu jamaa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
angelikuwepo mourinho nisingelikuwa na stress kuhusiana na wachezaji wa kiingereza.
smalling, jones, young, shaw, rashford, lingard, mctominay wameshatosha hatuhitaji wazembe wengine.
kiukweli hatufahamu anachokiwaza OGS muda huu.
je ana tabia za baba yake ferguson za kutafuta english players ili awasaidie FA?

tetesi za douglas costa zimezikwa rasmi kwenye media za kiingereza tunachezeshwa mdundo wa sancho, odoi.
Media za kiingeraza ni za hovyo kuwahi kupata kutokea..too selfish

Muda utakuwa ni mwalimu mzuri kuhusu Ole na mipango yake,kama atakuwa anatujazia waingereza pale sijui tutakuwa ni timu ya aina gani
 
The coach after me [Mourinho] changed to park-the-bus tactics and played on the counter. Now there is another coach who parks the bus and plays on the counter. The main difference between Mourinho and Solskjaer is that Solskjaer is winning.

kwa hisani ya bwana louis van gaal
Huyu mzee anaweza kuwa kweli(isipokuwa mechi ya cardiff).

Lakini OLe ana miezi mitatu ,hana ingizo jipya la wachezaji. Sio rahisi staili ya uchezaji kubadilika kwa muda huo.



Sent using simu mbovu
 
Kwa Odoi na Wan Bissaka mimi ninaona ni shobo tu za kutamani mchezaji kwa kuwa hatunaye, sikatai kuwa ni wachezaji wenye uwezo lakini sioni kama wao wataongeza kwenye kile tulichonacho

Dalot na Chong wanaweza kufanya hicho wanachofanya hao madogo tunaowashobokea. Tunamuwaza vipi Odoi wakati tuna akina Gomez na Greenwood?

Sancho is a big deal, nimeangalia mechi alizocheza na Spurs (UCL), nimeangalia mechi alizoitwa National Team, nimeangalia highlights zake YouTube na nimeangalia stats zake kwenye assists na goli alizofunga anaonesha ana uwezo sana, especially kwenye ku create chances, kitu ambacho kwa sasa tunamtegemea kupita kiasi kijana wa Raiola (Juda). Angalau tukiwa na creators kadhaa kwenye timu inasaidia.

Kama hatutampata dogo Sancho, tumfukuzie Hirvin Lozano na si Odoi

sijawahi kumuona sancho zaidi ya youtube.
sijawahi kumuona declan rice ambaye yupo west ham
wan bissaka namuona dhidi ya manchester united wanapokutana
Odoi ndio hivyo sina muda wa kuangalia mechi za chelsea.

wajuzi wa mambo tafadhalini naomba mutusaidie, endapo tutawapata wawili kati ya hao je tutakuwa tumeramba dume au ndio yale yale ya kila siku?
Tanayzer umekuwa ukiwapigia chapuo sana hao jamaa wasajiliwe naomba utusaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The so called Utd fans praying for liverpool to win this match so we can be level in points with spurs.

Am i surprised? ABSOLUTELY NOT

These are the same fans who wanted one of the most successful manager in the history of football to be sacked and replaced by the manager with relegation status in his CV.
 
Bergwijn ni mzuri lakini, nina wasiwasi na hawa wachezaji wakidachi ambao wanatamba kwao, na wakienda ligi nyingine wanazingua..... Mfano Depay, japo sio lazima wote wa fail kama Depay
Wan Bissaka sawa,ila hao wengine sidhani kama tutakuwa tumelamba dume..Sancho dortmund wanataka £90+,,sasa huu si ukichaa??

Naamini sokoni kuna watu wakali tu ambao wakiletwa timu yetu ita-advance

√Bruno Fernandez (Sporting Lisbon)

√Erisken(Spurs)

√Wan Bissaka (crystal Palace)

√Douglas Costa (Juventus)

√Bergwijn (PSV eindhoven)

Hawa watoto wa kiingereza wataitaji maturity kitu ambacho kwa sasa hatukiitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu isingekiwa kwenye baadhi ya komenti unakomenti kwa kiswahili, ningejua wewe ni Mourinho

Naweka kumbukumbu vizuri, mechi ya leo siombei Liverpool ashinde, ninaombea wagawane point moja moja na Spurs
The so called Utd fans praying for liverpool to win this match so we can be level in points with spurs.

Am i surprised? ABSOLUTELY NOT

These are the same fans who wanted one of the most successful manager in the history of football to be sacked and replaced by the manager with relegation status in his CV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bergwijn ni mzuri lakini, nina wasiwasi na hawa wachezaji wakidachi ambao wanatamba kwao, na wakienda ligi nyingine wanazingua..... Mfano Depay, japo sio lazima wote wa fail kama Depay

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa...lakini pia recently uholanzi ndo kumekuwa jicho la timu nyingi..De jong kaenda Barca,,De light bado anagombania na liver pamoja na bayern na wengine wengi
 
Back
Top Bottom