Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
You cant be serious kuquote maneno ya press conference mchezaji akisajiliwa, hiyo ni kama hotuba tu inakuwa imeandaliwa na mtu anaongea. Wanafunguka makocha wakiwa hawana mikataba wala sheria inayowabana kama alivyofunguka lvg.Shida ni kwamba mnafatisha kila source inachosema kuhusu UTD,timu kubwa kama UTD lazima iongelewe sana na sio kila kitu kinachongelewa kina ukweli, kuna magazeti mengine wanaongea Rumors tu ili wauze.tafuta reliable source ndo uamini
kinachosemwa, vitu vingine unajiongeza hata ww mwenyewe,ni Kocha gani hapa duniani asiependa top players labda?
Hata Guadiola anatamani City wawe na Messi sema ndo haiwezakani,Woodward hajui mpira lakin sio mjinga kwenye maswala ya pesa atanunuaje wachezaji zaidi ya watano wakubwa wanaocheza nafasi mmoja??.. kuondoka Di maria hakuhusiani na usajili wake bali nikutokana na kushindwa kusettle pale Manchester baada ya nyumba yake kuvamiwa na majambazi (familia yake ikiwa ndani) na kushindwa kuadopt physical nature ya PL.
LVG alisema hivi tulivyo msajili Falcao "When a player of this calibre becomes available, it is an opportunity not to be missed."
Na akasema hivi tulivyo msajili Dimaria: "A world-class midfielder he is a team player there is no doubting his immense natural talent he is a tremendously fast and incisive left-footed player who puts fear into the most accomplished defence. His dribbling skills and his ability to take on and beat opponents are a joy to watch. He is an excellent addition to the team."
Kama alisema haya maneno maana yake alipenda huo usajili sasa sielewi tunachobishana hapa ni nn, unasema hawanunui wachezaji walinunuliwa hao na kocha akawafurahia na bado wakazingua sasa kosa la Glazers hapo ni nini?
Hii makala pia inasema hivi: Van Gaal has also signed defenders Luke Shaw and Marcos Rojo, midfielder Ander Herrera, and forward Angel Di Maria since he was appointed David Moyes's successor in the summer.
hapo bado Hatujamuongelea Depay na Blind (waholanzi wenzake aliowafundisha Uholanzi World Cup), Darmian ,Bastian (ambae walikuwa nae Bayern) Romero (walikuwa nae AZ alkmaar) Valdes (walikuwa nae Barca) Alafu unamsingizia Woodward ndo aliwataka??
Je Damian,Rojo,Herrera,Depay,Matial,Blind,Luke Shaw,Romero,Schneiderlin Ni magalactico hao??
Source ya hizi makala ni BBC SPORTS : Hii ya Falcao na Hii ya Di maria.
So tukatae na maneno yake mwenyewe lvg ni ya uongo? Au hakuongea yeye ni groundless rumors za magazeti?
Na huyo niliekupa source ni mwandishi wa habari wa united we stand. Ambalo ni jarida la mashabiki wa man U na ameongea na Agent, na hili suala la agents si jambo ambalo halijulikani.
Nikuulize wewe mtetezi wa woodward ni kocha gani alikutana na mino raiola na kutujazia wachezaji wake man united?
Romero, pogba, ibra, mikhi, lukaku etc wote hawa wameletwa na mtu mmoja is it a coincidence? Kwamba makocha wetu wanampenda tu agent mmoja?