Kweli kabisa mkuu, kosa alilofanya dhidi ya Arsenal kumuacha dogo Scott karudia tena vle vle tokea dk ya 60 timu ilizidiwa kabisa na umuhimu kufanya Subs ulionekana yeye kakumbuka shuka kumekucha
Sijajua ni nini watafanya msimu ujao. Huwezi kuwa na washambuliaji ambao ukiwabana na kuzuia nafasi umewamaliza. Hakuna mchezaji anayeweza hata kupiga chenga mbili tatu akawapangua mabeki, hii ni ajabu kwa timu kama MUFC.
Timu imeishia kupiga pasi zisizo na maana, hamna ubunifu hata kidogo.
Hivi huyu Martial tunayemkuza humu mara nyingi, amefikia hata robo ya ubora wa Nani?