BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,902
- 11,707
haaahaaaKikubwa tulichoweza ni ball possession ni kama 65/35 na kingine ni kufanikiwa kuwapa yellow card mabeki wao muhimu wawili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu yaaani wachezaji kama wameokotwa na kuletwa uwanjani kuanzia pogba, lingard, Rashford wote ovyo kabisa
Martial ndo kabisiKabisa mkuu yaaani wachezaji kama wameokotwa na kuletwa uwanjani kuanzia pogba, lingard, Rashford wote ovyo kabisa
namba ya nani?
Martial huko Ufaransa atakaa apate namba kweli?