Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man Utd and Barcelona are set to meet in the @ChampionsLeague for the 5th time since 1998-99.

CL winners in the last 4 seasons when United and Barca met:

1998-99 - Man Utd
2007-08 - Man Utd
2008-09 - Barcelona
2010-11 - Barcelona


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beki wa kumkaba Messi amepatikana
IMG-20190316-WA0000.jpeg
 
Shida ndo hyo unakosa umakini mi nimeongelea Draw sijasema hatua gani kuna round of 16 nayo inafanyika draw labda kama ulikuwa hujui,2015-16 City alipangiwa Dynamo Kiyv,2016-17 City alipangiwa Monaco,2017-18 City alipangiwa Basel,2018-2019 City alipangiwa Schalke 04 Sasa mpka hapo jiongeze we mwenyewe ukishindwa basi!
Hujasema bado kibonde ni nani au ndo hao? Kina monaco, Basel, Schalke 04 ?
 
*Et wanasoka wenzangu*
Hiv pique anaweza riadha na rash ford?
Ter stegen atadaka chambua za martial?
Kale ka jordi alba kanaweza fukuzana na lingard?
Arthur melo amsumbue pogba,Kweli jaman?...
Alishndwa mbape ataweza Suarez kweli kwa lindelof?
Coutinho anataka kuja man u ,amfunge de gea si atakua anataka kurud brazil huyo?
Mfupa ulomshnda ronaldo makundi atauweza messi kweli?
Balaa la matic, bosquet kibabu analijua kweli?
Shaw on fire,kuna mbugira atapita kweli pale?...
Form ya ole ,yule kocha wa barca ataingia hata kdogo jaman!
*Et wana man u wenzangu ,uefa kwa nn wametupa tmu dhaifu HVO?*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Et wanasoka wenzangu*
Hiv pique anaweza riadha na rash ford?
Ter stegen atadaka chambua za martial?
Kale ka jordi alba kanaweza fukuzana na lingard?
Arthur melo amsumbue pogba,Kweli jaman?...
Alishndwa mbape ataweza Suarez kweli kwa lindelof?
Coutinho anataka kuja man u ,amfunge de gea si atakua anataka kurud brazil huyo?
Mfupa ulomshnda ronaldo makundi atauweza messi kweli?
Balaa la matic, bosquet kibabu analijua kweli?
Shaw on fire,kuna mbugira atapita kweli pale?...
Form ya ole ,yule kocha wa barca ataingia hata kdogo jaman!
*Et wana man u wenzangu ,uefa kwa nn wametupa tmu dhaifu HVO?*

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Messi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom