Duuh aisee kweli kuna watu wapo deep humu nimefurahi sana kusoma hoja zako humu mkuu sababu mawazo yako yanendana
sana na ninachofikiria mimi...kwa ufupi tunachokosa kikubwa kwenye hii club ni "Director of Football" kwenye modern football
sahiv hyu mtu lazima uwe nae mfano City yupo,Juve Yupo,Barca Yupo,Atletico yupo etc Club kubwa karibia zote,hyu mtu kazi
yake ni kuangalia Coach anataka acheze vipi na wachezaji watakaofaa kwenye huo mfumo ni wapi na kwenda sokoni kuwa
nunua,ukiangalia tunavyofanya usajili sisi nikama hatujui tunahitaji nini na ndo maana mwisho wa siku tunaishia kununua
wachezaji wengine level za chini mfano wakina Darmian na kuendelea kuwaongeza mikataba wakina Jones,wachezaji wa
maana kama kina De jong wanaishia kwenda Barca,Ed woodward ni Banker mwanauchumi sio DoF hana uelewa wa ndani wa
mpira hvyo hana uwezo wowote wa kumpinga Coach na haelewi club inahitaji nn,mfano Moyes alivyoomba Fellaini anunuliwe na
yye akaenda kumnunua tena kwa bei mbaya,hzi timu kama Juve na City wamefanikiwa kufanya usajili mzuri ndani na kipindi
kifupi sababu ya DoF hvyo naona nasisi inabidi tufanye michakato aje mtu wa maana pale kama Dof na nimeshasikia Club
inamtafuta mtu atakae fit hyo nafasi vizuri.