Chris41
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 625
- 409
Kama unavyosema rumors,Man utd ndio club pekee ambayo mawakala wengi huitumia kwaajili ya wachezaji wao mfano issue ya ramos na cr7 walitembelea mgongo wa utd.Yan hakuna kitu kinachonikeraga Man U kama Rumours. Rumours kibao lakin hakuna chochote. Kila mchezaji anatajwa anatakiwa na united, nothing done at the end. Madrid au Barca wakihitaji tu mchezaji,hawafany booking wahuni wale, wanalipa hela mkutane mwsh wa msimu mana wanajua hiyo potential inaeza nyakuliwa na wengn. Man U sasa!!! Khaa.
Liverpool hamuwezi Man City msimu huu. Elewa tu kuwa City ni tishio kwenye uefa. Na hakuna timu inatamani ikutane nae. City anatishaaaaa. Sibiri tuone.Hapana Barca na City sio tishio, tunajua Liverpool akikutana na City lazima amnyooshe. Barca wanamtegemea sana, ukimzuia Messi umeizuia Barca.
Timu za kuogopa ni Porto na Ajax, hawa hawana chakupoteza, kufika quarter final ni hatua kubwa kwao kwa sasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo yule pimbi ed woodwardYan hakuna kitu kinachonikeraga Man U kama Rumours. Rumours kibao lakin hakuna chochote. Kila mchezaji anatajwa anatakiwa na united, nothing done at the end. Madrid au Barca wakihitaji tu mchezaji,hawafany booking wahuni wale, wanalipa hela mkutane mwsh wa msimu mana wanajua hiyo potential inaeza nyakuliwa na wengn. Man U sasa!!! Khaa.
Hao Man city tunaomba mtupangie sisiLiverpool hamuwezi Man City msimu huu. Elewa tu kuwa City ni tishio kwenye uefa. Na hakuna timu inatamani ikutane nae. City anatishaaaaa. Sibiri tuone.
Nyie mnawatamani Man City kwasababu ya revenge, na kama mna wataka man city haya, ila mkipewa FC Porto mmepita. Ombeeni Porto.
Ajax vs Juventus 
Liverpool vs Porto 
Spurs vs Man City
Barcelona vs Man Utd