Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manyumbu mnakumbushwa tu, Man city kashinda 7

hivo mjipange ,msije kusema hamkuambiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hapa wanakaribishwa na Cristal Palace
Screenshot_2019-03-11-14-06-08.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao malimbukeni Mkuu, si unajua inachukua miaka mingi mpaka waje waifunge tena United

Sasa wasipoongelea sana huu ushindi wao wa sasa hivi, si watakaa labda miaka 5 baadae ndio wapate matokeo dhidi ya United tena

Mkuu jaribu kuwaelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli aisee yaani walivyofurahi inaonesha ni jinsi gani hawakutegemea huo ushindi nway sio ajabu sana kwa Arsenal maana wao top 4 huwa wanachukuliaga kama ndo Kombe vile.
 
Mkuu hawa Arsenane wanajifanya hawaelewi lakini wameelewa

Kwenye mpira kuna bahati pia, japo uwezo wa timu ndio una nafasi kubwa zaidi

Goli la Xhaka, ni goli la upepo (mpira ulibadilishwa direction na upepo)

Goli la Auba, ni goli la refa (poor referring decision)

United wamekosa karibu clear chances 5 kwenye ile game

Lakini mwisho wa siku United tunakubali kwamba tulifungwa, regardless of the reasons

Kitu ninachufurahia mimi ni kwamba Arsenane ndio wapo mbele yetu (kwenye top 4 race). Timu ambayo ni inconsistence kuliko timu yoyote Uingereza. Mechi chache zijazo atarudi nafasi zake na akina Everton huko.

Juzi nimecheka. Nimeona Mashabiki wa Arsenane pamoja na wale wanaokaa jukwaa maalum la mashoga wa Arsenal eti wanaimba Unai at the wheel ..... Nikajiuliza, What the f**ck couldn't they find their own song for their own coach (PSG reject)



Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa ni kufungwa tu, Bado na sisi tunawasubiri.
 
muda huu nilikuwa naangalia marejeo ya magoli aliyoyafunga CR7 dhidi ya atletico madrid, nimebaki nashangaa kumuona tena huyu gwiji ronaldo anapopiga kichwa chenye nguvu katikati ya mabeki wagumu kama diego godin na anafunga mara mbili.

baadae naamua kujikumbusha kwa kubonyeza link yenye kuonyesha marejeo ya marcus rashford anapopiga kichwa akiwa peke yake bila ya kubughudhiwa na mchezaji yeyote wa Arsenal na hatimaye anapoteza nafasi baada ya kupiga kichwa dhaifu,

Kiukweli wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaojiaminisha ya kwamba siku moja marcus rashford atakuwa mchezaji hodari kama ronaldo kwa kutumia kigezo cha umri wake na si bidii yake ya kujifunza .
Pia wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaomshabikia marcus rashford unapokuja mjadala wa nani zaidi kati yake na kylian mbappe.

kwa mtazamo wangu mechi nne zilizopita marcus rashford amecheza ovyo zaidi kuliko mchezaji yoyote anayecheza eneo la ushambuliaji kwenye timu yetu lakini cha ajabu unaoneka udhaifu wa touch mbovu za romelu lukaku.

Dakika 10 za greenwood zilinifurahisha hapo juzi kuliko dakika 90 za rashford
Ronaldo akiwa na umri kama uyo dgo alitwaa mchezaji bora wa dunia ..

Sasa uyo kumfikia level za CR7 kwa umri kama huo huo ameshindwa na anaelekea kushindwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom