Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeah ni kweli

Hata mimi namtetea Dagea kwenye lile goli

Penalty waliyopata Arsenal ilikuwa very soft penalty, japo ninaamini Fredy hakutakiwa kutumia nguvu sana kumkaba Gazeti, yeye angekomaa kuziba tu upande wa goli

Kuna makosa tulifanya lakini ndio mpira huo, lakini kiujumla tulicheza mpira kuliko wao...... Kosa letu kubwa ilikuwa ni kutokuwa clinical pale golini kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohooooo maana niliona alifanya timing ya kushoto ila mpira ukaenda kulia


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hizi mechi kubwa huwa ngumu sana mtu kumfunga mara mbili mbili huwa ni ngumu sana hata kama timu mbovu basi itasaka saluhu chelsea alitoka kula 6 na city nafikir tuliona ambavyo city alishindwa kurudia zoez ndani ya dakika 90


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hamna utetezi hapo

Mpira ni mchezo wa hadharani, kila nilichoongea ndio kilichojiri

Inaonekana ule uchambuzi wangu ulikuuma sana underdog

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kelele

Lakin ndio ushabakwa

Unaleta uchambuzi uchwara, haya yako wapi, Oho lazima mshinde ,mbwembwe kibao

Sasa hiv unalamba matapish yako

Ndio ushabikiriwa sasa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutapatapa

Eti hamkuwa kwenye kiwango chenu

Kwanini usiseme mlibakwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piga kelele

Lakin ndio ushabakwa

Unaleta uchambuzi uchwara, haya yako wapi, Oho lazima mshinde ,mbwembwe kibao

Sasa hiv unalamba matapish yako

Ndio ushabikiriwa sasa,

Sent using Jamii Forums mobile app
PSG kanifunga kabla ya Arsenane, bikira inatolewaje mara 2

Uchambuzi uchwara unaokunyima usingizi,

Upo bize ku quote uchambuzi uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa hiyo arsenal ni sawa na cadif had useme mechi ilikuwa muhimu wao hawastahili kushinda?

Kuna muda tuwe tunakubali hata arsenal alikuwa bora

Mourinho katolewa si kwamba solskjaer aipeleke united top 4 alitimuliwa kufuatana na mwenendo mbovu wa matokeo plan ya timu ni kujipanga mwakan ndio maana alipewa kaz ya muda kufuatana na mwenendo wa matokeo aliyopata tumeona hata top 4 inawezekana hamna alietarajia kusema tumemtoa jose ili OGS afanikishe mpango wa jose unakosea binafsi nampongeza sana OGS

Kapita ktk mechi nyingi ngumu sana huwez kushinda wala kutoka suluhu ktk mech zote lazima kuna watakao kudaka

Pep na ubora wake alinaswa na chelsea kala chuma mbili bila


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…