Dimaria pia ingawaje Ruud alishine na RVPPereira na dalot achana nao kabisa hata beckham na scholes hawakununuliwa wamekuzwa na hii club huo ndio utamaduni wa hii timu yuko wap sanchez na wakina falcao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dimaria pia ingawaje Ruud alishine na RVPPereira na dalot achana nao kabisa hata beckham na scholes hawakununuliwa wamekuzwa na hii club huo ndio utamaduni wa hii timu yuko wap sanchez na wakina falcao?
Hili nakubaliana naww sanchez timu imemshinda kbs na haya majeraha ya mara kwa mara ndio yanamaliza kbs
Tukatafute mtu nadhani tukimpata gareth bale atatusaidia na hivi madrid wanavyomzingua ndio wakati wa kumfuata
Aliye mtaja Bale kama mtu wa maana kuja OT angekuwa karibu yangu ningempiga hata kofi la kichwa kumzindua kidogoBale tena? Sanchez na bale wanatofaut gani mkuu?
Aliye mtaja Bale kama mtu wa maana kuja OT angekuwa karibu yangu ningempiga hata kofi la kichwa kumzindua kidogo
United squad vs PSG:
De Gea, Romero, Grant
Bailly, Dalot, Lindelof, Rojo, Shaw, Smalling, Williams, Young
Fred, Garner, Gomes, McTominay, Pereira
Chong, Greenwood, Lukaku, Rashford.
#MUFC
Acha uogaHapa ilishakula kwetu.. Tulikosea Sana kufungwa goli mbili nyumbani.. Tusipokuwa makini kesho kuna kudharirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ipo asee labda ndo mpira unadunda lakini kazi tunayo, tunaweza pata aibu asee.United squad vs PSG:
De Gea, Romero, Grant
Bailly, Dalot, Lindelof, Rojo, Shaw, Smalling, Williams, Young
Fred, Garner, Gomes, McTominay, Pereira
Chong, Greenwood, Lukaku, Rashford.
#MUFC
Kwani matic na herera wamesafir na kikosi?Wakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....
Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....
Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....
Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....
Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....
All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....
My orediction...
De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku
#GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho inabidi mashabiki badala ya kuimba Ole Ole Ole Oleeeee waimbe tenda muujiza teeeenda muujiza usiache Bwana mechi hii iishe bila kutenda muujizaUnited squad vs PSG:
De Gea, Romero, Grant
Bailly, Dalot, Lindelof, Rojo, Shaw, Smalling, Williams, Young
Fred, Garner, Gomes, McTominay, Pereira
Chong, Greenwood, Lukaku, Rashford.
#MUFC
Mtapigwa Tatu moja..Wakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....
Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....
Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....
Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....
Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....
All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....
My orediction...
De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku
#GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app