Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili nakubaliana naww sanchez timu imemshinda kbs na haya majeraha ya mara kwa mara ndio yanamaliza kbs


Tukatafute mtu nadhani tukimpata gareth bale atatusaidia na hivi madrid wanavyomzingua ndio wakati wa kumfuata

Bale tena? Sanchez na bale wanatofaut gani mkuu?
 
Riseeeeee!!!!
FB_IMG_1551723796374.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ilishakula kwetu.. Tulikosea Sana kufungwa goli mbili nyumbani.. Tusipokuwa makini kesho kuna kudharirika
United squad vs PSG:

De Gea, Romero, Grant

Bailly, Dalot, Lindelof, Rojo, Shaw, Smalling, Williams, Young

Fred, Garner, Gomes, McTominay, Pereira

Chong, Greenwood, Lukaku, Rashford.

#MUFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....

Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....

Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....

Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....

Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....

All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....

My orediction...

De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku

#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....

Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....

Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....

Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....

Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....

All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....

My orediction...

De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku

#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani matic na herera wamesafir na kikosi?
 
United squad vs PSG:

De Gea, Romero, Grant

Bailly, Dalot, Lindelof, Rojo, Shaw, Smalling, Williams, Young

Fred, Garner, Gomes, McTominay, Pereira

Chong, Greenwood, Lukaku, Rashford.

#MUFC
Kesho inabidi mashabiki badala ya kuimba Ole Ole Ole Oleeeee waimbe tenda muujiza teeeenda muujiza usiache Bwana mechi hii iishe bila kutenda muujiza

Ila PSG msituvue nguo tafadhali tufungeni kiustaarabu jamani


GGMU..... no matter what we are united!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....

Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....

Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....

Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....

Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....

All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....

My orediction...

De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku

#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtapigwa Tatu moja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WADAU wa MAN U.

Mmebakisha masaa mangapi kufungasha VIRAGO vyenu?
 
Back
Top Bottom