ebwana red devils ndio jina lao,ni kweli tumebebwa,lakini tuongee ukweli,uingereza kuna kubebwa kizamu zamu,kwahiyo leo ilikuwa zamu yetu,ila kamenogaaaa....poleni kwa walioumia,na nyie zamu yenu ikifika mtabebwa,kaeni tu kwenye mzunguko...
leo ndio nimekubali kumbe kweli howard web ni mnazi wa man utd!hizo penalt 2,kidogo ile ya kwanza,sasa ile ya pili japo mi si mtaalam lakini kam kusoma cjui hata picha 2 nisione?ila cha muhimu point,huyo tores bora aache 2 mpira kwani fani zipo nyingi.
Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
tatizo wabongo mnaleta mambo ya simba na yanga hapa! Watu wanacheza na makosa ya wenzao,c umeona welbeck alivyo jiposition kwenye mguu wa yule babu yenu...hata angekuwa malaika angempa pernati tu....
Naskia Webb half time alibwatukiwa na Kibabu fagiii, sasa ikabidi kipindi cha pili afanye kweli. Sijui kanamnunuliaga gongo na chapati za kuzimulia khaaaaaa
leo ndio nimekubali kumbe kweli howard web ni mnazi wa man utd!hizo penalt 2,kidogo ile ya kwanza,sasa ile ya pili japo mi si mtaalam lakini kam kusoma cjui hata picha 2 nisione?ila cha muhimu point,huyo tores bora aache 2 mpira kwani fani zipo nyingi.