Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimekuelewa mkuu, labda nikuulize, unaamini lukaku ni namba 9 wa kumtegemea atushindie makombe kama EPL? Kama ilivyokuwa RVP?
 
Plus City kushinda japo naye kwa mbinde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umewaza kama mimi
 
Kwasababu ametuokoa au?😀😀

Bado hakumfanyi kuwa kama akina Kun Agùero
Upgrade ya Lukaku labda Griezeman tu (kwa wachezaji waliopo sokoni)

Lakini Lukaku bado ni mchezaji muhimu kwetu, na tusipomthamini ataondoka tubaki na vitoto vile viwili tuone kitakachotukuta

Au tumuache halafu tum replace na striker wa £150mil tuishie kusajili wachezaji 2 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aya ya mwisho hiyo ......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu, labda nikuulize, unaamini lukaku ni namba 9 wa kumtegemea atushindie makombe kama EPL? Kama ilivyokuwa RVP?
Anaweza kutushindia

Lakini inabidi ifanyike surgery ya timu hasa kumuongezea nguvu ili aishwe mipira

Probably tukipata midfielder wa kumpa nguvu Pogba, winga mtundu wa kaliba ya akina Silva wa City au mpiga krosi nzuri na tukiimarisha nyuma (kumbuka timu ya ushindi inaanza kujengwa nyuma) tuna uwezo wa kuchukua kombe na Lukaku

Hivi mkuu kuna forward ambaye anatumia kila nafasi ya kufunga? Yaani ana convert 100% ya nafasi za magoli anazopata.

Aina ya wachezaji kama Lukaku ni wachezaji wanaotaka service, sasa kwa United pale creative players ambao sio wachoyo ni wawili tu ambao ni Pogba na Mata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu, labda nikuulize, unaamini lukaku ni namba 9 wa kumtegemea atushindie makombe kama EPL? Kama ilivyokuwa RVP?
Striker peke yake hawezi kukupa ubingwa, ubingwa unapatikana Kwa timu nzima kuanzia kipa,beki, viungo na washambuliaji kucheza vizuri , Leicester walichukua ubingwa striker akiwa Vardy.Kwa miaka 3 iliyopita Hary Kane ndio striker bora EPL lakini hajawahi kuwapa Spurs ubingwa.

RVP alicheza Arsenal miaka karibia 10 lakini hakuwapa ubingwa sababu timu ilikuwa mbovu alivyokuja United (ilikuwa timu bora) msimu wa kwanza tu akachukua ubingwa

Romelu Lukaku yupo kwenye top 20 ya wafungaji bora wa muda wote kwenye EPL na ana miaka 25 tu licha ya kuwa na control mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…