Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Nakubaliana na weweMbona jamaa alicheza poa tuu. Kama ukiangalia game poa, the last 3 games sanchez amekua akicheza poa tu. Ofcozi ana improve to be fair.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wataendelea kumuona anacheza vibaya watakapomlinganisha Sanchez wa Barca/ Arsenal na huyu wa United
Sisi ambao tunamlinganisha Sanchez wa msimu uliopita na huyu wa msimu huu tunaona anafanya vizuri
Kwa Wachezaji wetu tunapaswa kuwa positive zaidi, pale kwenye positivity
Sent using Jamii Forums mobile app
