Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,071
Mawazo ya mtu hayapingwi....ila ww unaonekana kama Mamluki hivi..man u yetu bado sana. tukipata kocha kama warnoc yule jamaa aliyefukuzwa huddlesfield atatufaa sana. Tukimkosa bora tumchukue yule Tony Pulis alikuwaga anainoa Stoke city na west brom.
Bila ivo man u itazidi kupotea. Sanchez tumpe muda.
GGMU
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
