Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tujikumbushe hapo nyuma kidgo,


ziqrt97e2ni21.jpg


Babu alishawahi chezesha hichi kikosi sasabu ya majeruhi na bado tukamnyonga Arsenali..😀
 
  • Manchester United have made contact with the agent of Sporting Lisbon midfielder Bruno Fernandes, according to reports in Portugal. (Sun)
 
Perreira na Tominay wanaweza kureplace Matic na Herera

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani hujanielewa vizuri mkuu, Fred amenunuliwa kwa Pound Million 50 na anakula mshahara mrefu sana pale sasa kama hapati n.o wakati tunamajeruhi midfield atapata namba lini? na kulikuwa na maana gani kumnunua kama hapewi nafasi ya kucheza?
 
uchafu ni kitu chochote kile kikiwekwa au kikikaaa sehemu ambapo si mahala pake,
humu ndani ni kwaajili ya mashabiki wa MAN UTD tu hao wengine wanaleta uchafu
tuu si mahala pao,,😛😛😛😛

Hii ID yako imejiunga March 16, 2015.

Ina posts 85, kati ya hizo 3 ndizo umepost hapa kwenye hii thread, na zote 3 ni za leo.

Kwa kuja leo na kuwataja uliowakuta kwamba ni uchafu, ninahisi utakuwa na uchafu kichwani.
 
Ingekuwa mourinho kwenye press ingekua ni kuhusu majeruhi wa ile mechi tu..

OGS alikuwa so composed jana, nilipenda kweli kitu alichoongea kwenye interview.

Maana nina uhakika hata bila majeruhi droo ilikuwa inampa favor kubwa sana, ila kupata majeruhi ndani ya muda mfupi vile halafu timu ikamaliza game bila kufungwa ni sawa na ushindi tena mkubwa.
 
Nadhani hujanielewa vizuri mkuu, Fred amenunuliwa kwa Pound Million 50 na anakula mshahara mrefu sana pale sasa kama hapati n.o wakati tunamajeruhi midfield atapata namba lini? na kulikuwa na maana gani kumnunua kama hapewi nafasi ya kucheza?
Kweli mkuu kama hana uwezo apewe nafasi tuone akichemka co vile vitoto....vikikutana na shughuli kama ya psg vinapoteana

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
 
OGS ameweza kuirejesha ile fear factor ya old traffold,kipindi cha mou hata Huddersfield walikuwa wanakuja kushambulia ili kupata point 3.
kwa mazingira yalivyo na kuchagizwa na majeruhi ya mapema kabisa,droo kwa united dhidi ya liverpool ni ushinde hasa ukizingatia timu ilikuwa ikisogea mbele kila ikipata mpira. kipindi cha mou hatukuwahi hata kuiota top 4 lakini leo hii imewezekana na ni contenders wazuri tu.
 
Back
Top Bottom