Kama umkubali ww powa.. lakin asilimia kubwa ya mashabiki wanamkubali. Ameibadilisha united.. kutoka man u ya mou to man u inayotarajia ushindi kila mechi.
Yes huenda kuwa hajatoka kwenye timu kubwa. Lakin inahitajika kocha mwenye kuujua utamaduni wa united.
Na hapa ndipo ole amewaid walipita. Kilikuwa ni kitu rahis tu. Ukile ta kocha wa mfumo mwingine ataanza kubadilisha mifumo.. tutarudi nyuma tena kama zamani kuanza ku struggle na mifumo mipya.
Wamekuja makocha wangapi wapya kutoka timu zingine na wameunguza...? Tena kutoka tim kubwa kubwa..
Ww unakuja ku recommend makocha wa tim za mwisho huko. Hadhi haijashuka kias hiko mkuu
Sent using
Jamii Forums mobile app