capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
"If we can do to Liverpool what we've done to a few teams now, I'll be very happy."
Maana yake ni ma ovyo ovyo tu
Leo hii team itapigwa hatrick na Mussilim attacker Mo salah
Tulia Leo ukunwe kunakoHuwa mnatabia ya kubwabwaja hivi,baada ya game mnatokomea kusikojulikana.
Daah. Nachokumbuka, tokea mwaka 2009 wakati OLE anapewa timu ya watoto kuwa kocha, nilihisi na hata wengi tu walihisi siku moja OLE atakuwa kocha was timu ya wakubwa. Hivyo, OLE hajaokotwa, bali amekuzwa kwa wakati Kama huu.Leo ndio kipimo halisi cha hawa makocha wa kuokoteza okoteza mtaani, mwenzake Puel kisha fungashiwa vilago.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaha aaha, hata mimi kiroho kunadunda mbaya.Game ya leo naivyoisubiria utadhani nipo Angaza nakula ushauri nasaha nikisubiria majibu ya ngoma. Damn it.
Sent using Jamii Forums mobile app
ƙwaƙweli leo mpigwe tu.
Hapana asee, hali halisi inaonesha leo hamtoƙiUnataka kupunguza machungu mkuu?😀