Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Talking about this match,fulham recently kama wamejilift up
Inabidi kesho kufanye rotation ila sehemu ya kiungo ni either matic au herrera mmoja wao acheze na perreira na Fred,huku tukimpuzisha pogba..
Mbele kule Lukaku,Mata,Sanchez itakuwa sawa tu
Nyuma pale Jones Darmian,Valencia na Smalling kama wako poa itakuwa poa pia
Nanaa
Inabidi kesho kufanye rotation ila sehemu ya kiungo ni either matic au herrera mmoja wao acheze na perreira na Fred,huku tukimpuzisha pogba..
Mbele kule Lukaku,Mata,Sanchez itakuwa sawa tu
Nyuma pale Jones Darmian,Valencia na Smalling kama wako poa itakuwa poa pia
Wadau mbona mechi yetu dhidi ya fulham tunainyima coverage tunaongelea mechi dhidi ya psg?
One steo at a time maana hata burnley tulimbeza akatunyima point 2 muhimu.
Nakumbuka kipindi cha SAF,hawa fulham ya akina murphy,dembele,na mmarekani mmoja hivi chini ya Dod al fayed walikuwa wakitupa tabu sana. Kama historia inabeba timu,tusiwapuuze hawa jamaa maana hata big match wamekuwa wakikaza sio mchezo.
GGMU
Nanaa

