Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Phil Jones nasikia kaongezewa mkataba wa 4yrs(+1)..

Huu utakuwa ni zaidi ya utani

Nanaa
Yaani .

Pengine wanafanya hivyo asije kuondoka bure, nazani itakuwa kama ilivyokuwa kwa fellain

Yote sawa ila uwepo watu kama sample ya Jones ndio wanaturudisha nyuma.
Wanalipwa mishahara mikubwa(hii inapelekea kuwa offload inakuwa shughuri tena). Halafu output yao in Ziro.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unayo matokeo kama ulivyokuwa nayo ya Bournemouth?

Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu nakutana na wewe tena Mara tatu ..kama ilivyo misimu miwili iliyopita.

Ambapo kila msimu nilikupiga Mara mbili, wewe ukashinda Mara moja.

Msimu huu umebahatika Ku draw moja. Kati mbili zilizobaki, kuna moja utakufa na kuna moja utadraw tena.

Mourihno ndo kocha pekee mwenye alikuwa na uwezo wa kuifunga Chelsea. Sio Uyu mmasai Ole..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani, wachezaji wanatakiwa ku cool off, na OGS asiwape pressure wachezaji eti wamsaidie apewe permanent contract. Hizi records za kutokufungwa mechi ngani sijui zinawapa un necessary pressure wachezaji.

Katika mechi nne zilizopita OGS sijamsoma akitumia neno attack attack attack. He needs to be stable. we need to attack attack and attack.
12th Feb is all matter for now chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Phil Jones nasikia kaongezewa mkataba wa 4yrs(+1)..

Huu utakuwa ni zaidi ya utani

Nanaa
Muingereza huyo.

Man Utd ni timu ya kingereza.

Kuwanyima mikataba mipya waingereza sio kitu rahisi ukichangia kwamba asilimia kubwa ya wachezaji wazuri wa Uingereza wanatoka United.

Ashley Young, Smalling, nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mbona mechi yetu dhidi ya fulham tunainyima coverage tunaongelea mechi dhidi ya psg?
One steo at a time maana hata burnley tulimbeza akatunyima point 2 muhimu.
Nakumbuka kipindi cha SAF,hawa fulham ya akina murphy,dembele,na mmarekani mmoja hivi chini ya Dod al fayed walikuwa wakitupa tabu sana. Kama historia inabeba timu,tusiwapuuze hawa jamaa maana hata big match wamekuwa wakikaza sio mchezo.
GGMU
 
Good or Bad News
Screenshot_2019-02-08-15-22-08.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mbona mechi yetu dhidi ya fulham tunainyima coverage tunaongelea mechi dhidi ya psg?
One steo at a time maana hata burnley tulimbeza akatunyima point 2 muhimu.
Nakumbuka kipindi cha SAF,hawa fulham ya akina murphy,dembele,na mmarekani mmoja hivi chini ya Dod al fayed walikuwa wakitupa tabu sana. Kama historia inabeba timu,tusiwapuuze hawa jamaa maana hata big match wamekuwa wakikaza sio mchezo.
GGMU
Nilicheki mechi yao dhidi ya brighton, walicheza vizuri sana kipindi cha pili. Mitrovic sio wa kumuacha kizembe, nakumbuka hata round ya kwanza tuliwapiga lakini walicheza vizuri sana kipindi cha pili.
 
Back
Top Bottom