D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
fundi wangu naomba nikuulize swali kidogo japiokuwa si sehemu yake :Huu msimu Liverpool hamwachii City, cha kufanya City aanze kuweka mipango ya msimu ujao.
Kuna majeruhi kadhaa wakirudi huku timu ikiwa bado inaongoza hata kwa point 1 tu, City asahau.
Gomez, TAA, Lovren; hawa ni defense.
Wijnaldum (huyu majeruhi yake siyo makubwa), then uje OX Chamberlain.
Hao wakirudi tunafunga mahesabu.
hivi yuko wapi naby keita niliyemuona mechi ya mwanzo dhidi ya west ham?
japokuwa naichukia sana liverpool FC lakini bado nitafurahi endapo mutakapofanikiwa kubeba ubingwa msimu huu, kiupande wangu nadhani itakuwa ni kitendo cha ujinga kama nitawaombea manchester city wabebe tena ubingwa kwa mara ya pili mfululizo japokuwa matumaini yapo.
- kwa nini niichukie liverpool kwa sababu dhaifu ya kihistoria wakati kiuhalisia nguvu yao ya matumizi sokoni haina tofauti kubwa na ya kwetu sisi na tunawazidi kimatumizi ya mishahara?
- kwa nini niichukie liverpool isibebe ubingwa wakati nusu ya wachezaji wao wana viwango vya kawaida, fikiria aina ya wachezaji kama milner, henderson, matip, lovren, origi, lalllana, arnold alexander, sturidge, moreno, gomez na wengineo. Kivyovyote timu kama hii haiwezi kusimama miaka mitatu mfululizo, jamani ni rahisi sana kumvua ubingwa liverpool kuliko manchester city.
kivyovyote endapo manchester city atafanikiwa au asifanikiwe kubeba ubingwa kwa ninavyomfahamu guardiola lazima ataingia sokoni kuziba nafasi za wachezaji wawili hao ambao wameonyesha uchovu msimu huu.
kwenye ishu ya matumizi majirani zetu wanaendelea kutuacha mbali sana na hata aina ya wachezaji wanaowasajili chini ya guardiola ni wachezaji wa uhakika isitoshe jamaa ana ushawishi mkubwa sana kwenye soko la usajili.
usishangae kesho asubuhi unakutana na habari za isco au christian eriksen kuhamia manchester city ili awe mbadala wa david silva msimu ujao.
nimeota thiago alcantara, koke na ndombele wanakuja etihad.
hivi tuna uhakika gani kama sheikh ed woodward atamwaga kitita kikubwa msimu ujao?
jurgen klopp hana uhakika kama atamwagiwa kitita kikubwa kwa ajili ya usajili.
josep guardiola ana uhakika atamwagiwa hela kwa ajili ya usajili msimu ujao.
hivi tuna uhakika gani kama sheikh ed woodward atamwaga kitita kikubwa msimu ujao?
jurgen klopp hana uhakika kama atamwagiwa kitita kikubwa kwa ajili ya usajili.
josep guardiola ana uhakika atamwagiwa hela kwa ajili ya usajili msimu ujao.
nitakuwa mjinga kuiombea dua mbaya liverpool ya henderson isibebe ubingwa kwa sababu ya historia yetu, siwezi kufurahia kumvua ubingwa manchester city msimu ujao bali nitafurahi kumvua ubingwa liverpool.