Hii ni dalili kuwa wataendelea kustruggle sana ili kupata matokeo kipindi hiki ambacho Kane na Son hawapo..Daah tottenham wameharibu sherehe dakika za mwisho
Yaani Mimi ni heri Man U tusiingie top 4 kuliko Liverpool kuchukua kombe. Naichukia sana hiyo timuHuu msimu Liverpool hamwachii City, cha kufanya City aanze kuweka mipango ya msimu ujao.
Kuna majeruhi kadhaa wakirudi huku timu ikiwa bado inaongoza hata kwa point 1 tu, City asahau.
Gomez, TAA, Lovren; hawa ni defense.
Wijnaldum (huyu majeruhi yake siyo makubwa), then uje OX Chamberlain.
Hao wakirudi tunafunga mahesabu.
Yaani Mimi ni heri Man U tusiingie top 4 kuliko Liverpool kuchukua kombe. Naichukia sana hiyo timu
Mkuu mimi namchukia mjivuni Pep kuliko Klop. Huwa namuona Klop km wale watu ktk jamii ambao huwa wanaelewana na kila mtu.Yaani Mimi ni heri Man U tusiingie top 4 kuliko Liverpool kuchukua kombe. Naichukia sana hiyo timu
Mimi kwa upande wangu shida siyo Mwl. Shida ni uhasama tulio nao hao jamaa. Kama unavyojua hawa Liverpool ndio tunaoshindana nao kimafanikio zaidi. City bado sana ni kama underdog kimafanikio dhidi yetu. Ila liver wakichukua asee tutasahau kama walikuwa hawajachukua ubingwa kwa muda Wa 27 yrs kwa hizo kelele na tamboMkuu mimi namchukia mjivuni Pep kuliko Klop. Huwa namuona Klop km wale watu ktk jamii ambao huwa wanaelewana na kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
You are very rightMimi kwa upande wangu shida siyo Mwl. Shida ni uhasama tulio nao hao jamaa. Kama unavyojua hawa Liverpool ndio tunaoshindana nao kimafanikio zaidi. City bado sana ni kama underdog kimafanikio dhidi yetu. Ila liver wakichukua asee tutasahau kama walikuwa hawajachukua ubingwa kwa muda Wa 27 yrs kwa hizo kelele na tambo
Paul Scholes and G Neville on Who he prefer between City and Liverpool to win the tittleMkuu mimi namchukia mjivuni Pep kuliko Klop. Huwa namuona Klop km wale watu ktk jamii ambao huwa wanaelewana na kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nakubaliana na Naville lkn tutafanyaje?Paul Scholes and G Neville on Who he prefer between City and Liverpool to win the tittle
Scholes: City over Liverpool
G Neville: Choosing one among them is like choosing one man between the two to sleep with your wife
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja mliwahi kuchukua?
Hukumbuki kama walimpiga Bayern final....Huyo ni chelseaMoja mliwahi kuchukua?
jose mourinho aliipenda sana timu yetu na kwa kauli zake anazozizungumza anaonekana bado ana mapenzi nayo lakini tatizo lake kubwa alishindwa kwenda na mdundo wa muziki, amekuwa hana tofauti na muimbaji yule aliyepatwa na msiba wa baba yake hivi karibuni.Mourinho: “My philosophy depends. I’d love to go to a club and be in conditions to do what Jurgen and Pep did. When Jurgen is in the club and wins absolutely nothing for three and a half years, still has the trust, confidence to keep going.” #mufc [beIN] beIN SPORTS on Twitter
Sasa ilitangulia final ipi ili yawe mawili?