Nahisi Matic na Herrera wanahitaji pause kidogo. Fatigue yaweza kuwapa hata majeraha. Kutokana na tatizo la beki, wanatumia nguvu nyingi ku-balance team.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
hell yeahNahisi Matic na Herrera wanahitaji pause kidogo. Fatigue yaweza kuwapa hata majeraha. Kutokana na tatizo la beki, wanatumia nguvu nyingi ku-balance team.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sisi tunamsubir kwa hamu vile vilehongera kwa kubahatisha jiandaen PSG anawasubiri kwa hamu
Inawezekana mtu kubahatisha kushinda mech 7 mfululizo enhee??hongera kwa kubahatisha jiandaen PSG anawasubiri kwa hamu
Hata mimi ananipa hard time sana..too soft and slopy,ari yake ipo chini..hana ule upambanaji wa kutaka kuwa juu,ni kama vile ameridhika na alipo..kwa hali hii akiendelea nayo sidhani kama timu yetu itakuwa inahitaji uwepo wake..tunataka watu wakuset rythm kule mbele na sio watu wakucheza too soft, and too slopy..Hivi mashabiki wenzangu wa united mnamuonaje martial??
Ujue mpaka leo mimi nampa nafasi anionyeshe kuwa naweza kuwa mshabiki wake wa kudumu halafu nashindwa??!!
Naona kama ni mchezaji ambae sio type yetu kabisa!!! Hana ari, hana morari, sio mpambanaji, hatafuti kwa hali na mali, yani ye ni mpaka ikitokea basi sawa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mashabiki wenzangu wa united mnamuonaje martial??
Ujue mpaka leo mimi nampa nafasi anionyeshe kuwa naweza kuwa mshabiki wake wa kudumu halafu nashindwa??!!
Naona kama ni mchezaji ambae sio type yetu kabisa!!! Hana ari, hana morari, sio mpambanaji, hatafuti kwa hali na mali, yani ye ni mpaka ikitokea basi sawa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi ananipa hard time sana..too soft and slopy,ari yake ipo chini..hana ule upambanaji wa kutaka kuwa juu,ni kama vile ameridhika na alipo..kwa hali hii akiendelea nayo sidhani kama timu yetu itakuwa inahitaji uwepo wake..tunataka watu wakuset rythm kule mbele na sio watu wakucheza too soft, and too slopy..
Kuna mtu nilikuwa nabishana naye akasema kuwa ni Personality yake..yani vile tunavyomuona ndivo alivyo..Nilibishana naye sana
Mimi nachoona ni hana ari binafsi..Talent wise anamzidi Rashford ila rashford anajituma sana uwanjani.
This boy need to change..la sivyo sioni nafasi yake pale OT.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile timu ya mchangani waliyoifunga si sawa na man u.PSG kapiga mtu leo 9-0 .
Man U jipangeni atleast mkipigwa 6-0 sio mbaya
hongera kwa kubahatisha jiandaen PSG anawasubiri kwa hamu
Huyo unapoteza nae muda ni lile genge la liverpool lililoibuka baada ya timu kufanya vizurInawezekana mtu kubahatisha kushinda mech 7 mfululizo enhee??
Martial mi mwenyewe simuelewi kabisa rashford kila uchwao anakuja na kitu kipya lakini yeye kimyaa ndo mana tunafuta mshambuliaji mwingine wa kutokea pambeniHivi mashabiki wenzangu wa united mnamuonaje martial??
Ujue mpaka leo mimi nampa nafasi anionyeshe kuwa naweza kuwa mshabiki wake wa kudumu halafu nashindwa??!!
Naona kama ni mchezaji ambae sio type yetu kabisa!!! Hana ari, hana morari, sio mpambanaji, hatafuti kwa hali na mali, yani ye ni mpaka ikitokea basi sawa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaongelea eplhongera kwa kubahatisha jiandaen PSG anawasubiri kwa hamu
Yule chelsea nae katuzidi 3 mpira una maajabu sana wale sari ball hawana hamu.
Kabisa mkuu pia mi naona kama mechi ya spurs upikuwa ndo ufunguo wa kuanza kupigania top 4 hapa ina maana zile timu zilizopo top 5 kwa sasa tuna uhakika wa kuzibutuaJana Arsenal kushinda imefanya nafasi ya 3 na 4 kuwa open kwa yeyote kati ya Tottenham, Arsenal, Chelsea na Man Utd.
Na kwa trend nayoiona ni kama Man Utd ana advantage kidogo, maana yeye anapanda wenzake wanashuka au wako palepale. Hizi game 6 za EPL zimewapa boost ya nguvu sana.
Yani kama rashford angekua na uwezo mguuni kama martial, basi leo rashford tungekuwa tunamuweka kama next ballon d'or winnerMartial mi mwenyewe simuelewi kabisa rashford kila uchwao anakuja na kitu kipya lakini yeye kimyaa ndo mana tunafuta mshambuliaji mwingine wa kutokea pambeni