Hongereni kwa Ushindi Wapinzani wangu naona wapinzani wenu wa Ujirani Mafuriko yamewakumba ya Mvua sijui Mancini leo atalalamika nini kwa mikono ya kitaliano Sign.
Wasiwe na papara ,sasa si umeona Morrison alijua atapata timu premiership matokeo anakwenda kucheza na Doncaster Rover. Pogba akikubali ku extend contract yake kwanza europa league atakuwa anacheza na akifanya kweli msimu ujao kati anakuwa anacheza yeye