YOUNG....anakipiga mbele ya delle pale kisela mavi na undava undava manina anampa vikumbo na matusi ya chinichini kumtoa mchezoni...
JONES... kidogo nimeona leo akikaza ila bado mzito kwenye kumalizana na foward kwa wakati muafaka....
LINDERLOF... mmmhu huyu jamaa full mitatoo anakaba kama muuza kashata na pweza...manina yaani muuza pweza hata ule kwa siri namna gani ukimuuliza nimekula vingapi hakosei...
SHAW... ni stalet yenye speed 400 anatema mate kushoto anafukia kulia...
MATIC... Haha jitu kubwa la miraba 8 ***** ana mguu kama kwanja akishika mpira huchukui kama katengenez yeye...kama anapiga kumbe anafinya
HERRERA.. Hapa sasa ndo uelewe hakuna mwispania fala labda morata tu...jama kama hayupo anapiga pasi mbonyeo na buti za nyuma ya kisigino mbili tatu nje
LINGARD... the Mouse(panya) mjanja uwanjani sa hizi unamwona hapa baadae yupo kuleeeeee tayari kashatoroka ye kazi yake ni kuvuruga viungo wakabaji na mabeki kwa kudokoa mipira na kukimbia nayo....kiraka...
POGBA... jina kubwa duniani pasi za upinde wa mvua malamaaake...pasi inapigwa karikaoo hadi ubungo na inafika kwa mtu ukifata unategua nyonga...miguu kama buibui pasi za mauzi na chenga za kukera..
MARTIAL... hahah hajui kingereza hadi leo inajua chenga tu...***** akiwa na mpira anakufata kama mbwa wa polisi hakimbii mwizi.
RASHFORD... (boxer) yeye kazi yake moja tu kukimbia kama anarejeta kifuani *****...anafinya anapiga mashuti mbonyeo kipa huoni...miguu miembamba kama muwa wa kutengenezea sukari🤭
DE GEA... Malamamaaaaaake huyu sio binadam ni robot kama huamini nenda playstation utajione....msenge anaweza kudaka hata risasi,mabom,mbu,na rocket zote ziendazo kasi...jamaa ana mikona elfu kumi na kila mkono una kazi yake.....

Sent from my iPhone using JamiiForums