Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
nipe sababu kwanini Martial aingie na Sanchez atoke
nipe sababu kwanini Martial aingie na Sanchez atoke
Leo tunacheza kama kipindi cha morinyo, kuvizia counter attack. Possession sijui 36%
Kwa hiyo una maanisha mmebahatisha tu kufunga hizo Goli ukweli ni kwamba mmezidiwa si ndio unachosemaKatikati kuna mata,fred.scott na pereiraView attachment 986904
Tahith chongKwa hiyo una maanisha mmebahatisha tu kufunga hizo Goli ukweli ni kwamba mmezidiwa si ndio unachosema
Ki ukweli sanchez mpira umemkataa aise ingawa anajaribu kurudi ila mambo magumu kwake.Jearsey anayovaa ni nzito sana
Ilikuwa 3 kwa nunge.Lakini ukumbuke, katika mechi 5 tulizofungwa, moja to ndiyo tulifungwa OT, na mechi hiyo alitufunga Tottenham, tena ilikuwa goli 3 kwa 1.
Hakuna ushindi wa bahati hapo ni umiliki wa mpira na upigaji pasi sahihi kwenda kwa walengwaKwa hiyo una maanisha mmebahatisha tu kufunga hizo Goli ukweli ni kwamba mmezidiwa si ndio unachosema