Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Katikati kuna mata,fred.scott na pereira
2019_01_05_16.43.49.jpeg
 
Kwa hiyo una maanisha mmebahatisha tu kufunga hizo Goli ukweli ni kwamba mmezidiwa si ndio unachosema
Hakuna ushindi wa bahati hapo ni umiliki wa mpira na upigaji pasi sahihi kwenda kwa walengwa
 
Ushindi mzuri ila mechi haikuwa nzuri. Kuna wachezaji wanapaswa kutambua kuwa wanavaa Uzi wa Man utd.
 
Back
Top Bottom