kwa sasa sina hofu yoyte kwa Man utd ,,ila nimefurai jana kuoana liverpol imepoteza point 3Tarehe 13 tujiandae kisaikolojia wakuu ikitokea vinginevyo basi ni maajabu ya mpira


Haya mkuu tulitie maji sasakwa sasa sina hofu yoyte kwa Man utd ,,ila nimefurai jana kuoana liverpol imepoteza point 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nadhani tuwaombee njaa Chelsea na arsenal ili tuingie top 4. Liverpool na man city ishakuwa historia kwa msimu huu kwetu sisi.kwa sasa sina hofu yoyte kwa Man utd ,,ila nimefurai jana kuoana liverpol imepoteza point 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana ake hiyo,,ila top 4 tutajitahd atleast i have dat hope!Mie nadhani tuwaombee njaa Chelsea na arsenal ili tuingie top 4. Liverpool na man city ishakuwa historia kwa msimu huu kwetu sisi.
Itakuwa poa sana mkuu
Mkuu tunatakiwa kumpiga kwanza spurs kabla ya kuwafikiria haoMie nadhani tuwaombee njaa Chelsea na arsenal ili tuingie top 4. Liverpool na man city ishakuwa historia kwa msimu huu kwetu sisi.
Kuwa na imani,spurs kwetu huwa anakuwa mnyonge sana,hata kipindi cha Jose tuliwahi kumpiga mechi moja pamoja na ubovu wetu ule. Omba Herrera awe fomu ampoteze eriksenMkuu tunatakiwa kumpiga kwanza spurs kabla ya kuwafikiria hao
Ukiwaza hivi utaishia kufungwa muda sio mrefu mkuuMie nadhani tuwaombee njaa Chelsea na arsenal ili tuingie top 4. Liverpool na man city ishakuwa historia kwa msimu huu kwetu sisi.
Duh mkuu umeidharau sana timu yetuTarehe 13 tujiandae kisaikolojia wakuu ikitokea vinginevyo basi ni maajabu ya mpira
Siidharau mkuu timu tunayokutana nayo toka 2013 hawakos top 4 wamekaa muda mrefu wanajuana wanakocha mzur sisi kocha wetu itakuwa mech ya 6 bado anatafuta muunganiko wa timu ili falsafa zake zuwaaingie ndo mana naona kama spurs ana nafasi kubwa ya kufanya vizur.Duh mkuu umeidharau sana timu yetu
Maajabu means possibility ya ushindi ni labda 10℅ kitu ambacho si kweli
May be 55% kwa 45%
Sent using Jamii Forums mobile app
PointUkiwaza hivi utaishia kufungwa muda sio mrefu mkuu
We pambana na hali yako kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
PointUkiwaza hivi utaishia kufungwa muda sio mrefu mkuu
We pambana na hali yako kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona sasa tunategemea muujiza ni kuombea tu ndo mana nasema tunapaswa kujiandaa kisaikolojia bado hatuwez kujipambanua kama zile timu top 3 hii ni kutoka na ujio wa kocha wetu ambae anatafuta chemistry ya timu kwanza tukishinda poa hata tukifungwa ni mwanzo wa kujifunza na kutafuta vipaji na timu ya ushindani.Kuwa na imani,spurs kwetu huwa anakuwa mnyonge sana,hata kipindi cha Jose tuliwahi kumpiga mechi moja pamoja na ubovu wetu ule. Omba Herrera awe fomu ampoteze eriksen
maneno yako yapo juu ya mstari nyoofu muheshimiwa, ndio maana kiupande wangu msimu huu sipotezi muda wangu kuzifuatilia liverpool na manchester city pindi wanapokuwa uwanjani kwa sababu matokeo yeyote wanayoyapata athari yake kiupande wetu inakuwa ni hafifu ukilinganisha na klabu nyengine kama chelsea, tottenham hotspurs na arsenal.Mie nadhani tuwaombee njaa Chelsea na arsenal ili tuingie top 4. Liverpool na man city ishakuwa historia kwa msimu huu kwetu sisi.
uzi wa liverpool japokuwa siipendi pia unafanya vizuri sana.
Eee ndugu yaani sisi pekee ndio tutapata tabu sana,sababu vurugu zao zote wanaiangalia United na si timu nyingine
Binafsi napendelea aendelee kuepo maana kama unavosema kuchukua ubingwa mbele yake ni kipimo cha ubora wa timu yetukocha yeyote anaechukua ubingwa mbele ya Pep, Klopp, Pochettino huyo ni kocha bora pia ni timu bora nashangaa unavyokata Pep asiwepo
Sir Alex Ferguson anajilia zake pensheni yake isiyokuwa na kikokotoo mkuu.Wakuu nisaidieni kitu hapa.
Baada ya Ferguson kuacha kazi ya ukocha kuna role yoyote alipewa kwenye timu?
Naelewa ana influence as a Legend, nachotaka kujua ni kama ana any official role.
Hii imekuja baada ya ubishi kuibuka kijiweni kwamba eti Ferguson ndiye aliyeshauri coaching team ya sasa (the whole bench), na aliyekuwa anaongoza mjadala anasema Fergie ni member wa board. Mimi nimejaribu kuangalia simwoni kwenye board.
Kuna mahali nimeona alikuwa ni Non executive director around 2013 mpaka Van Gaal anatimuliwa, so kama mtasaidia updates tafadhali.
cc: Mc cane, Damushin, Darmian, lukesam, radika, 4G LTE, Daud1990 na wengine wote.