Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Sometimes unahitaji zaidi point 3 kuliko kucheza vizuri.
Wachezaji wamepambana vya kutosha.
GGMU
Wachezaji wamepambana vya kutosha.
GGMU
Mkuu tujitahidi kuita koleo koleo sio mwiko mkubwa. Tukubali kukosoa mapungufu yanayoonekana wazi.
Mkuu tujitahidi kuita koleo koleo sio mwiko mkubwa. Tukubali kukosoa mapungufu yanayoonekana wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Martial anafunga goli zote Rashford hakuwa anacheza??Toka Ole kaingia Rashford katupia 3, Martial katupia 0. Ukumbuke pia Martial alicheza dakika 90 mechi zote kasoro leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa game na tot aisee sanchez anatakiwa anza na martial
0-0Nahitaji matokeo ya kina jorginyo huko.....
Mwenye ambae anajua anipe
Sent using Jamii Forums mobile app
21 year old Macus Rashford
. Is turning to be the new Manchester United leader on the pitch something that have been missing for years now . The kid have been consistent and just keep on improving.He most be working extremely hard in the background. I feel he wants to follow the footstep of his idol Christiano Ronaldo.
The free kicks, the runs, the dribbles, the work rate, the eye on gaol etc
The future is bright

Manchester United for ever 


Martial maisha binafsi ya nje naona yana mchanganya sana hajaweka nia uwanjaniToka Ole kaingia Rashford katupia 3, Martial katupia 0. Ukumbuke pia Martial alicheza dakika 90 mechi zote kasoro leo.
Sent using Jamii Forums mobile app