Bado tunahitaji
4 na 5
6
2
9
Huo ndo ugonjwa wetu mkubwa.
Mkuu matic akikutana na watu shapu tunaumia lazima tupate kiungo tena pia nne na tano kumbuka bailly kiasili ni 3 lazima kupata mtu kama yule bek wa napoliNadhani tunahitaji zaidi namba 4 kuja kusaidiana na hawa akina Jones, Baily na Lindelof.
Nakubaliana nawe tunahitaji mshambuliaji Mmoja zaidi, namba 9/10 kuja kutengeneza Pacha na Lukaku.
Hatuna Shida na Viongo, kiungo cha Chini wala cha Juu, hili eneo hata Liverpool hawatufikii.
Kikubwa ni kuimarisha Safu yetu ya ushambuliaji.
Kwa soka la leo Naona Sanchez akirudi Katika Fomu yake.
Tumeanza kumuona Pogba halisi ambaye hana Majukumu, Pogba aliye huru kuutawala mpira.
ndio tunavyoomba mkuu lakini tatizo tunaowania nafasi msimu huu ni wengi.
arsenal msimu huu wameamka na wewe mwenyewe umeshuhudia wameweza kupambana mechi 20 bila ya kupoteza.
chelsea na wao licha ya kuwa na tatizo la umaliziaji lakini bado wana kikosi chenye nguvu ya kupigania nafasi ya 4.
sarri anafahamu fika kama hatopata nafasi ya 4 kibarua hana.
solution yetu ya kwanza ni kushinda mfululizo kama liverpool waliyofanya round 1.
Yeah Sure, namba mbili Hatuna ujanja Lazima tusajili mchezaji mzuri Katika Hii Nafasi, Matic kulikuwa na Shida kwa Kocha.Mkuu matic akikutana na watu shapu tunaumia lazima tupate kiungo tena pia nne na tano kumbuka bailly kiasili ni 3 lazima kupata mtu kama yule bek wa napoli
Yeah Sure, namba mbili Hatuna ujanja Lazima tusajili mchezaji mzuri Katika Hii Nafasi, Matic kulikuwa na Shida kwa Kocha.
Ila Hakuna kiungo mgumu Katika dimba la Chini kumzidi Matic, ni Fundi haswa.
Mifumo na Falsafa za Josse Mou Ndio zilizomfanya Matic aanze kuflop.
Kumbuka Msimu wa mwisho aliokuwa Chelsea.
Hivi kwa nini tusimrudishe chicharito January? Nahisi hela yake itakuwa si kubwa sana na ana muda kama Wa miaka 2 hadi mitatu ya kucheza kwa kiwango kizuri. Manake kutafuta quality strikers wengine kwa January ni ngumu sanaNadhani tunahitaji zaidi namba 4 kuja kusaidiana na hawa akina Jones, Baily na Lindelof.
Nakubaliana nawe tunahitaji mshambuliaji Mmoja zaidi, namba 9/10 kuja kutengeneza Pacha na Lukaku.
Hatuna Shida na Viongo, kiungo cha Chini wala cha Juu, hili eneo hata Liverpool hawatufikii.
Kikubwa ni kuimarisha Safu yetu ya ushambuliaji.
Kwa soka la leo Naona Sanchez akirudi Katika Fomu yake.
Tumeanza kumuona Pogba halisi ambaye hana Majukumu, Pogba aliye huru kuutawala mpira.
Chelsea wanaongoza 2-1 ndugu dk kama ya 70 hivi sahziAseno Kumekucha
City Kumekucha
Bado Chelsea Naona Halftime Moja Moja
OLEHafu timu naona kama kasi yake bado hairidhishi sana japo wachezaji wako free na asili ya wachezaji wetu wengi Wa mbele ni viberenge, yaani hawakimbii kama liverpool, city au chelsea hasa wanapovuka katikati kuelekea kwa adui au nyie mnaonaje!?
Sio kila mechi tutacheza na intensity ile ile..Bado nafasi ya timu kuimprove ipo so tuendelee kuisapoti timuHafu timu naona kama kasi yake bado hairidhishi sana japo wachezaji wako free na asili ya wachezaji wetu wengi Wa mbele ni viberenge, yaani hawakimbii kama liverpool, city au chelsea hasa wanapovuka katikati kuelekea kwa adui au nyie mnaonaje!?
Nakubaliana na wewe, hakuna kiungo imara kama Matic kwenye dimba la chiniYeah Sure, namba mbili Hatuna ujanja Lazima tusajili mchezaji mzuri Katika Hii Nafasi, Matic kulikuwa na Shida kwa Kocha.
Ila Hakuna kiungo mgumu Katika dimba la Chini kumzidi Matic, ni Fundi haswa.
Mifumo na Falsafa za Josse Mou Ndio zilizomfanya Matic aanze kuflop.
Kumbuka Msimu wa mwisho aliokuwa Chelsea.