Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Clean sheet ni mbwembwe na mapambio tu ya kikosi, muhimu ni kushinda gemu haijalishi utashinda kwa goal difference gani, mwisho wa siku mwenywe points nyingi ndo bingwa
 
Hamna lolote ukiwa na safu nzuri ya ushambuliaji utabeba ubingwa hata kama kila mechi utaruhusu magoli na mfano nimekupa msimu wa mwisho wa sir Alex, na jamaa kakupa mfano wa tico tico hapo kwa misimu 3 mfululizo wanaongoza kwa clean sheet lkn ubingwa wanausikia tu
Hamna lolote, Liverpool mwaka jana walikuwa vizuri sana mbele lakini hawakufanikiwa kushinda kitu chochote sababu ya poor defence
 
Kwani lengo ni kushika nafasi ya pili au bingwa?
Lengo ni kufanya vizuri, kwani sasa hivi Man Utd mbona anataka nafasi ya nne? Timu zina malengo mengi, kwani kila timu itakuwa bingwa? Acha kukariri wewe!!
 
Wangekua vizuri mbele wangechukua ubingwa, mbona United ya sir Alex ilichukua japo ilikua na poor defance
Hamna lolote, Liverpool mwaka jana walikuwa vizuri sana mbele lakini hawakufanikiwa kushinda kitu chochote sababu ya poor defence
 
Wanatafuta nafasi ya nne baada ya kuona nafasi ya ubingwa ni ndogo au haipo kwa msimu
Lengo ni kufanya vizuri, kwani sasa hivi Man Utd mbona anataka nafasi ya nne? Timu zina malengo mengi, kwani kila timu itakuwa bingwa? Acha kukariri wewe!!
Lkn lengo la timu kubwa ni kuwa bingwa
 
Staili za umbea hizi
Ivi itokee timu ktk mechi 38 za msimu ishinde mechi 34 na zote iruhusu magoli ya kufungwa, halafu mechi 4 ifungwe kabisa zote, hapo kutakua hakuna clean sheet kwa hiyo timu, Lkn hapo niwazi hakutakua na timu itakayoifikia na itabeba ubingwa hata kama gemu zote iliruhusu magoli ya kufungwa, nataka nikuambie clean sheet ni upuuzi tu, hai determine nafasi ya ubingwa
 
Wangekua vizuri mbele wangechukua ubingwa, mbona United ya sir Alex ilichukua japo ilikua na poor defance
Kuchukua kombe ni kufanya vizuri lakini, kuwa nafasi ya pili pia ni kufanya vizuri tofauti na kuwa wa sita
 
Ivi itokee timu ktk mechi 38 za msimu ishinde mechi 34 na zote iruhusu magoli ya kufungwa, halafu mechi 4 ifungwe kabisa zote, hapo kutakua hakuna clean sheet kwa hiyo timu, Lkn hapo niwazi hakutakua na timu itakayoifikia na itabeba ubingwa hata kama gemu zote iliruhusu magoli ya kufungwa, nataka nikuambie clean sheet ni upuuzi tu, hai determine nafasi ya ubingwa
Wewe hujaelewa fuatilia mjadala tangu mwanzo. Hivi unaelewa maana kusema timu ikioata clean sheets za kutosha itakuwa na NAFASI NZURI YA KUCHUKUA KOMBE, au nimekwambia ni lazima ichukue? Kwenye mpira kuna factor nyingi za timu kushinda vikombe ikiwemo ulinzi imara
 
Ivi itokee timu ktk mechi 38 za msimu ishinde mechi 34 na zote iruhusu magoli ya kufungwa, halafu mechi 4 ifungwe kabisa zote, hapo kutakua hakuna clean sheet kwa hiyo timu, Lkn hapo niwazi hakutakua na timu itakayoifikia na itabeba ubingwa hata kama gemu zote iliruhusu magoli ya kufungwa, nataka nikuambie clean sheet ni upuuzi tu, hai determine nafasi ya ubingwa
Kukariri ni kubaya sana
 
Narudia tena clean sheet haina nafasi yoyote ktk kuchukua ubingwa, muhimu nikushinda tu kila mchezo haijalishi kama na wewe unaruhusu nyavu kutikiswa au la, shinda Michezo mingi kadiri inavowezekana halafu usiwe bingwa kwa 7bu huna clean sheet nyingi
Wewe hujaelewa fuatilia mjadala tangu mwanzo. Hivi unaelewa maana kusema timu ikioata clean sheets za kutosha itakuwa na NAFASI NZURI YA KUCHUKUA KOMBE, au nimekwambia ni lazima ichukue? Kwenye mpira kuna factor nyingi za timu kushinda vikombe ikiwemo ulinzi imara
 
Narudia tena clean sheet haina nafasi yoyote ktk kuchukua ubingwa, muhimu nikushinda tu kila mchezo haijalishi kama na wewe unaruhusu nyavu kutikiswa au la, shinda Michezo mingi kadiri inavowezekana halafu usiwe bingwa kwa 7bu huna clean sheet nyingi
Nasisitiza clean sheets ni muhimu sana kwa timu inayocheza ili kupata mafanikio.

Clean sheets ina maanisha ulinzi imara

Ulinzi imara ina maanisha kufungwa kwa nadra

Na kufungwa kwa nadra inamaanisha chance kubwa ya kushinda
 
Nasisitiza clean sheets ni muhimu sana kwa timu inayocheza ili kupata mafanikio.

Clean sheets ina maanisha ulinzi imara

Ulinzi imara ina maanisha kufungwa kwa nadra

Na kufungwa kwa nadra inamaanisha chance kubwa ya kushinda
Ukiwa na ulinzi imara harafu hushindi na mwenzio hana ulinzi imara ana ruhusu magori lakini anaondoka na point nana mwenye nafasi ya kubeba kombe?
 
Back
Top Bottom