Uwe unaelewa, ninachomaanisha hapa ni implication ya clean ya sheets ni kwamba timu ina ruhusu kufungwa mara chache hivyo, ni rahisi kukusanya points hata inapofunga goli moja, au magoli machache
Imagine mechi ya Southampton, Newcastle, Brighton, Wolves United angepata clean sheet angekuwa wapi kwenye ligi?
Hata hao unaotoa mfano wasingekuwa na hizo clean sheets may be wangekuwa wanamaliza ligi kwenye nafasi za 6 au 7
Ukweli ni kwamba, timu with the most clean sheets ina nafasi kubwa ya kuwa kwenye nafasi nzuri ya ligi na kuchukua makombe, Italia ipo hivyo, Ujerumani ipo hivyo, Ufaransa ipo hata Tanzania ipo hivyo.
Wewe umeangalia kamfano kako kamoja ka La Liga, ambapo hata huyo bingwa alikuwa wa 2 kwenye kuwa na clean sheets nyingi. KWA HIYO CLEAN SHEETS (SOLID DEFENCE) DO MATTER.
Na timu with the least clean sheets ina nafasi kubwa ya kushuka daraja au kuwa pabaya kwenye msimamo wa ligi hata ukiangalia kwenye ligi mbalimbali ipo hivyo
Kama hujali clean sheets cheza ovyo ovyo bila kuzingatia defense kama Evertoon upigwe 6 kwa 2 tuone kama utafurahi.
NARUDIA TENA, ACHENI KUKARIRI. MPIRA SIO KUSHAMBULIA PEKEE, LAZIMA UTAFUTE BALANCE KATI KUSHAMBULIA NA KULINDA.
Sasa hivi Uingereza, Liverpool na City ndio wanaoongoza clean sheets na ndio wapo top 2, Chelsea na Spurs wanafuata kwa clean sheets na wapo top 4.
ACHA KUKARIRI MKUU