radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Nimekuelewa sana halafu unaandika bila jazba wala lugha za kuudhi heshima kwako mkuu kutumia lugha ya kuudhi si kwamba ujumbe wako unafika ni kujichoresha tuAntonio Conte sacked: Eden Hazard 'paramount' to Chelsea decision to axe Italian coach
EDEN HAZARD was vitally important to Chelsea's decision to sack Antonio Conte, reports say.
The Italian has finally been let go by the Blues after months of speculation.
The writing had been on the wall for some time for the former Juventus manager, with Maurizio Sarri set to take over either today or tomorrow.
It has been an ongoing saga that threatened to go on all summer but action has finally been taken.
Conte even turned up to take training sessions this week amid the confusion - but player power still appears to rule the roost at Stamford Bridge.
The Telegraph have reported that paramount to the decision was the future of Hazard - who has threatened to leave.
Kule kwa Mou Hazard alijumuishwa kwenye panya 3 na huku kwa Conte panya huyu aliendelea kuhusishwa. Ukilea wachezaji Wa hivyo tegemea muendelezo wa migongano na walimu wengine. Yaani hapa manake mchezaji anadictate kazi ya Mwl,siku akijisikia kuleta kiburi analianzisha tu. Ferg alimuuza Becks brand kuliko Pogba ktk wakati ambao hakuna mshabiki Wa Man U alimuelewa, Ruud van nesterlooy, hii yote ni kwa sababu aliona hao wanaanza kuleta instability ktk timu.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]