Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,561
- 21,511
Mkuu kwa team yenye hadhi kama united haipaswi kuwa na uvumilivu kwenye masuala ya kipuuzi. Mou ingebidi afukuzwe kabla ya msimu huu kuanza .Halafu kuna hawa wengine wanasema José apewe anachotaka😀 si alitaka CB's akapewa Lindelof na Bailly? Kashindwa kuwatumia.
Kanunua Fred ameshindwa kumtumia,Pogba hivyo pia.
Sijui wanataka apewe nini?
Mimi na watu wadau wachache sana humu ndani tuliongea saaaaana na kujua tangu mwanzo uelekeo wa team Kama jamaa hatafukuzwa. Leo mwezi December team ina goal difference 0 halafu mtu anasema kocha apewe muda. Sijui hawa mashabiki mpaka team ishuke daraja ndio wataamini kuwa kocha ni mbovu.

