Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

So far tunataka kuwaharibu akili kwanza then tukishaona wamelegea tunaanza kuangalia goli lipo wapi
 
Ingekuwa mi ndo napanga kikosi cha man utd luis nani na rooney napiga bench miezi 2
 
Ingekuwa mi ndo napanga kikosi cha man utd luis nani na rooney napiga bench miezi 2

Mkuu nitakupa like zako nikitumia laptop na natumia mobile,hawa jamaaa wawili wanacheza vizuri tu kuna mchango fulani wanaweka kwenye timu
 
Phil-Jones-injury-Arsenal-vs-Manchester-Unite_2706114.jpg
 
Tuna majeruhi so far ila game lazima tucheze tumekosa chance nyingi sana tofauti na wenyewe golini kwetu
 
Halafu Luis Nani anatupunguzia idadi ya magoli,ilitakiwa tuwe na goli 3 au 4 hadi mapumziko
 
Back
Top Bottom